Mgirik
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 13,204
- 13,183
Mbona kama zimevaliwa??
hivi hyo saiz inaweza kukutosha?
Nilitaka nikuchukulie teh teh!
Mbona kama zimevaliwa??
Mbona kama zimevaliwa??
Hahahahaaa hahahahaaa hahahahaaa umepata bonge la ID Ashki Majununi wewe kwa vyovyote vile ni mzoefu hapa jamvini, yani hii ID yako itanikumbusha escoro na chambo msambaa yule aso haya mwenye matusi ya waziwazi
Kunielewa peke yake haitoshi bali chukua hatua.....kabisa umeshanidhalilisha kwa miss chagga......na pia umeshanivurugia mipango yangu kuna mtu nilishamwongopea kuwa mimi nipo usalama wa taifa tena kitengo nyeti kabisa..........dah....Duuu kumbe niwewe kiongozi nimekuelewa
Kunielewa peke yake haitoshi bali chukua hatua.....kabisa umeshanidhalilisha kwa miss chagga......na pia umeshanivurugia mipango yangu kuna mtu nilishamwongopea kuwa mimi nipo usalama wa taifa tena kitengo nyeti kabisa..........dah....
hivi hyo saiz inaweza kukutosha?
Nilitaka nikuchukulie teh teh!
Kunielewa peke yake haitoshi bali chukua hatua.....kabisa umeshanidhalilisha kwa miss chagga......na pia umeshanivurugia mipango yangu kuna mtu nilishamwongopea kuwa mimi nipo usalama wa taifa tena kitengo nyeti kabisa..........dah....
Nichukulie switie
Huyu aliyetoa like hapa anahusika moja kwa moja
uwiii acha swaga za uongo