Mmejiandaaje na bei mpya ya vifurushi vya Azam Tv?

Mmejiandaaje na bei mpya ya vifurushi vya Azam Tv?

Emilio Mzena

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2023
Posts
262
Reaction score
619
Wapenda kandanda na tamthilia za kutafsiri kutokea king’amuzi cha Azam Tv mmejiandaaje na bei mpya za vifurushi?

Tetesi ni kuwa bei mpya zinakuja mwezi Septemba.
 
Serikali ifanye haraka sana kumdhibiti Azam TV, tena haraka sana, huyu Azam TV anachofanya sasa ni monopoly business, kila kukicha anapandisha bei ya vifurushi vyake wala hajali, Azam TV wa kudhibitiwa haraka kabisa, hii ni hatari sana
 
Serikali ifanye haraka sana kumdhibiti Azam TV, tena haraka sana, huyu Azam TV anachofanya sasa ni monopoly business, kila kukicha anapandisha bei ya vifurushi vyake wala hajali, Azam TV wa kudhibitiwa haraka kabisa, hii ni hatari sana
Na wao wapunguze kodi
 
Wapenda kandanda na tamthilia za kutafsiri kutokea king’amuzi cha Azam Tv mmejiandaaje na bei mpya za vifurushi?

Tetesi ni kuwa bei mpya zinakuja mwezi Septemba.
Azam nilishawapiga chini muda. Zuku yatosha.
 
Hawa washenzi naona ikishaanza Premier League tu wanapandisho kodi ili kutulazimisha sie wabongo kuwatukana
 
Back
Top Bottom