Nakuaminia..yaelekea shuleni ulikuwa mtu wa kukesha sana. Umelala saa saba na nusu..saa moja upo macho..dah!!Ha ha ha, nieamka mapema lakini nilikuwa nakamua ng'ombe kwanza, jf badae
Nakuaminia..yaelekea shuleni ulikuwa mtu wa kukesha sana. Umelala saa saba na nusu..saa moja upo macho..dah!!
jamani mara hii hamuonekani?
Mshalala?
Au kimchina changu hakiwaoni?
Hebu rudini tupige story mbili tatu afu tupotee.
Mphamvu ile picha yako ya kusinzia umeipeleka wapi? halafu hizo nywele zako ndio Fido Dido?
Bora airudishe tu
fidodido haiendani na koment zake
itakuwa kama watu wameiba password yake
mhm?
Ina maana nilipelekwa chaka?
Kwani coment za fidodido zin'takiwa ziweje mpenzi?
koment zako zinaendana na yule mlalaji
huyu fidodido ntamchunguza computa yangu ikipona kipengale cha rangi maana saa hiv naona black and white tu
Safi kabisa. Umeona eh! Nitakuwa sijalenga vizuri kama vipi na leo nitalirudia game. Nalog off
kongosho aka mbeba box aka tiger aka Ally wa kitaa aka NN.
Hiyo si unamwambia wakati mnataka kula?
Dadako ninaye tayari......afu nasaka mke wa tatu, unataka nikupose?
ujue bi mkubwa ndo sabuni ya roho lakini.
kongosho aka mbeba box aka tiger aka Ally wa kitaa aka NN.