Kongosho JF-Expert Member Mar 21, 2011 35,999 24,164 Dec 8, 2011 Thread starter #81 Heri yao blues Rejao said: Nani yupo macho bado? Nasheherekea kichapo cha Man Utd na kutolewa kwao pamoja na jirani yake Mancity kwenye CL. Karibuni tufurahi! Click to expand...
Heri yao blues Rejao said: Nani yupo macho bado? Nasheherekea kichapo cha Man Utd na kutolewa kwao pamoja na jirani yake Mancity kwenye CL. Karibuni tufurahi! Click to expand...
AshaDii Platinum Member Apr 16, 2011 16,190 18,078 Dec 8, 2011 #82 Habari yako Kongosho? Regardz to Boss maana umembana nasikia hata hapatikani kwa cm, Pm, hata mtaani...lol
Habari yako Kongosho? Regardz to Boss maana umembana nasikia hata hapatikani kwa cm, Pm, hata mtaani...lol
Kongosho JF-Expert Member Mar 21, 2011 35,999 24,164 Dec 8, 2011 Thread starter #83 Leo nimemwacha akacheze huko kwenye udaku, ila karibia namfuata aje alale sasa. Jamani ina raha yake kujipatia Eminem wa jf AshaDii said: Habari yako Kongosho? Regardz to Boss maana umembana nasikia hata hapatikani kwa cm, Pm, hata mtaani...lol Click to expand...
Leo nimemwacha akacheze huko kwenye udaku, ila karibia namfuata aje alale sasa. Jamani ina raha yake kujipatia Eminem wa jf AshaDii said: Habari yako Kongosho? Regardz to Boss maana umembana nasikia hata hapatikani kwa cm, Pm, hata mtaani...lol Click to expand...
AshaDii Platinum Member Apr 16, 2011 16,190 18,078 Dec 8, 2011 #84 kongosho said: Leo nimemwacha akacheze huko kwenye udaku, ila karibia namfuata aje alale sasa. Jamani ina raha yake kujipatia Eminem wa jf Click to expand... Hahahaa!! Hongera dear.... Eminem eeeh?? NO Wonder you like the way it hurts....
kongosho said: Leo nimemwacha akacheze huko kwenye udaku, ila karibia namfuata aje alale sasa. Jamani ina raha yake kujipatia Eminem wa jf Click to expand... Hahahaa!! Hongera dear.... Eminem eeeh?? NO Wonder you like the way it hurts....