Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,351
Mi nashangaa sana jinsia yangu inawastua nini?
Mie shemale, kwa hiyo na act according to counterpart aliyejitokeza wakati huo.
usijifanye hujui ukajitia umajinuni.
Jinsi (sio jinsia) ni utambulisho wa kwanza wa binadamu. Ndio maana ulipojifungua mtoto wa kwanza, nesi mkunga aliyempa taarifa bwanako (though mtoto ulimbambikia) alimwambia kuwa mkewe amejifungua mtoto wa ...(akataja jinsi ya mtoto).
Hakumtambulisha kwa kimo, rangi wala mbari, ila jinsi.
Sasa nakushangaa wewe unavyotaka watu wasihoji kwako kukoje.
BTW: Ungekuwa shemale kama unavyodai usingelilia ndulele zangu namna ile.
Sawasawa?