Tetesi: Mmakonde na Sarah wameachana

Tetesi: Mmakonde na Sarah wameachana

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
23,900
Reaction score
31,686
Kwa habari za chini ya kapeti ni kwamba mmakonde na Sarah wamwagana ila mmakonde anaona aibu kukiri waziwazi kwa kuhofia kuchekwa na watu.

Kwa kifupi mmakonde bila Sarah si lolote wala si chochote ukapuku umemjaa siku zote anavimba mjini kwa kutegemea kuhongwa na Sarah .

Na bado
 
Kwa habari za chini ya kapeti ni kwamba mmakonde na Sarah wamwagana ila mmakonde anaona aibu kukiri waziwazi kwa kuhofia kuchekwa na watu.

Kwa kifupi mmakonde bila Sarah si lolote wala si chochote ukapuku umemjaa siku zote anavimba mjini kwa kutegemea kuhongwa na Sarah .

Na bado

Wanawake mnapenda umbea sana
 
Huyo demu mnapiga kelele ana hela ana hela hela gani acheni zenu nyinyi,Huko Italy katoka familia ya kikimbizi waarabu wa Moroko.
Kazi anayoendaga kufanya huko anajua mwenyewe
 
Back
Top Bottom