Mlokole amnywesha damu ya hedhi mwanaye

Mlokole amnywesha damu ya hedhi mwanaye

askofu na nabii - WEWE MTU HUYOHUYO MMOJA ......? UMESHINDWA KUWAPATA HUKO MABARABARANI SASA UNATULETEA UTAPELI WAKO HUMU.

watu wengne mnakuwa wagumu wa kuelewa kama wewe kila siku watu wanasema hauna haja ya kucopy story ukiwa unareply.unatuchosha bwana
 
Hizi story huwa ni za kutunga ajili ya kutumika katika ushuhuda.ni marketing strategy ya wachungaji kuvuta wateja.
Kama alinyweshwa damu ya hedhi akiwa mbinti mwishoni anataja mmewe.lini kaolewa hapo?

Hata Mimi Sijamuelewa!
 
Story za bar hizi za kutaka kuibua hisia! Ni hdithi za kufikirika zaidi zenye lengo la kuuza magazeti!
 
Mkuu labda wewe ndio mgeni kwa MziziMkavu, mwenzako hapo yupo kwenye Jihad kutimiza sunna za mtume, hizo hadithi za kusadikika zingemuhusu Sheikh wala asingezileta hapa. Hakuna mtu mwenye akili timamu ambaye anategemea source ya habari kwake iwe ni Global Publishers, ukimuona mtu wa aina hiyo basi ujuwe upstairs empty.
Mkuu Matola Mbona unazungumza maneno ya Pumbe?Kwani hii Global Publishers ni Waislam? na huyu Eric shingongo ni Muislam?mbona unazungumza kama vile umekunywa pombe umelewa unazo akili kweli timamu wewe? samahani kama nitakukwaza.
 
Hizi story huwa ni za kutunga ajili ya kutumika katika ushuhuda.ni marketing strategy ya wachungaji kuvuta wateja.
Kama alinyweshwa damu ya hedhi akiwa mbinti mwishoni anataja mmewe.lini kaolewa hapo?

mmh naona kama ya kutengenezwa pia hii story jamani. Mungu anisamehe kwa hili.
 
Bibie Penelope History ya ukweli kama unataka kuamini jaribu kupiga simu hii namba muulize huyo bibie (Ester aliomba nitoe namba yake ili mwenye mashaka azungumuze naye. Namba yake ni 0713618820)
Alijuaje kama watu watakuwa na mashaka mpaka atoe namba..ajipange
 
Last edited by a moderator:
hii kama hadithi ya kisanii vile..
msichana mkubwa vile utalazimishwaje kurudi na uchafu wako, kukamua na kunywa?unaweza kulazimishwa kula au kunywa usichokijua?
pili, anaonekana anakaa kwa mama na baba wa kambo, mama ndio anamhudumia kule Nairobi
tatu, kuonyesha uongo na kushindwa kupangilia mambo, anaonekana yupo dar ameshatoka arusha na mumewe ndio anamhudumia-utoto kabisa huu
nne, ameanza kumponda babu wa loliondo ili kumpa shavu nabii feki Sugeye
mtoa mada....acha usanii
 
Back
Top Bottom