Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,586
- 66,282
- Thread starter
- #101
Uyo upepo ukipita una pita naeWee kimbau mbau Half american unaitwa huku🤣🤣🤣
Uyo upepo ukipita una pita naeWee kimbau mbau Half american unaitwa huku🤣🤣🤣
😂😂Aaah wapiii!! 😂😂😂😂
Jifunze kuandika vizuri best, mbona esay, wee unakwama wapii?
Kwani naandika vibaya kiasi iko?Jifunze kuandika vizuri best, mbona esay, wee unakwama wapii?
😂😂😂😂😂
Wee huoni jamanii? 😂😂😂😂Kwani naandika vibaya kiasi iko?
Sion mmWee huoni jamanii? 😂😂😂😂
Ntakasirika niwaoneshe fullpicture yangu nilivyo na kitambiWee kimbau mbau Half american unaitwa huku🤣🤣🤣
Hebu tuoneshe🤣Ntakasirika niwaoneshe fullpicture yangu nilivyo na kitambi
Tulia hapo hapoHebu tuoneshe🤣
Kitambi au kilib tumboNtakasirika niwaoneshe fullpicture yangu nilivyo na kitambi
Bila kitunguu na Hoho ni ubatili kakaHell
Kwanza niliandaa ndizi zangu vizuri kama unavyo ziona wakat uho nyama ipo jikoni ina ivaa
View attachment 3437572
Kisha baada ya nyama kuiva nika weka karoti ya kusaga na ndizi
View attachment 3437573
Then nilitenga supu ile ya kwanza supu og ile nzitooo nikaweka mwishoni
View attachment 3437576
Ika tokota kidogo tu mambo yakawa bam bam
View attachment 3437577
Bashiri kidogo usihau na kalimao kidogo na pilipili ili muasho upatikane
Guys jifunzeni kupika mule kile kitu roho inapenda na akili ina taka
We jichanganye alafu useme nakuandama 😂Kitambi au kilib tumbo
Hamna supu hapo, mchuzi wa ndiziNdio supu ya ndizi hiyo?!!
😂😂😂 nimeshangaa, ndiyo maana nikauliza ili nisionekane napenda mabishano.Hamna supu hapo, mchuzi wa ndizi
Tafadhali nifungulie mlango, nakuja na beer 24 na wine chupa 2.Hell
Kwanza niliandaa ndizi zangu vizuri kama unavyo ziona wakat uho nyama ipo jikoni ina ivaa
View attachment 3437572
Kisha baada ya nyama kuiva nika weka karoti ya kusaga na ndizi
View attachment 3437573
Then nilitenga supu ile ya kwanza supu og ile nzitooo nikaweka mwishoni
View attachment 3437576
Ika tokota kidogo tu mambo yakawa bam bam
View attachment 3437577
Bashiri kidogo usihau na kalimao kidogo na pilipili ili muasho upatikane
Guys jifunzeni kupika mule kile kitu roho inapenda na akili ina taka