PAGAN
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 13,319
- 22,254
We jamaa uchawi wa kupika Mimi muda na kuosha vyombo baada ya kushiba.
Jamaa yangu mmoja mkewe alisafiri kwa siku kadhaa yeye akawa anapika bila kuosha vyombo. Siku mkewe anarudi sisi tulikuwa backyard tunapiga laga mbili tatu. Dada alivyoona mlima wa vyombo vichafu alivimba ile mbaya. Akaanza kuosha bila kusema na mtu. Mi nikaona hapa mi bora niage tu