Mlo wa mchana supu ya ndizi

Mlo wa mchana supu ya ndizi

Kweli nmeamini kuna siku mpishi lazima akosee, angekuwa hotel ya nyota tano kibarua kingeota nyasi leo.
Walivyo wajanja sikuizi mbona wanakubadilishia jina Hapo utaambiwa mteja aliorder ndizi nyama sio supu ya ndizi 😁..
Juzi kati Kuna mahali niliagiza chips kavu nikaletewa wamezikausha zinataka kuwa kama crips.
Nikacomplain naambiwa ulipress order ya french fries 🍟 wakati nlipiga simu kuwaambia kwa mdomo chips kavu 😂😂😂😂
 
Walivyo wajanja sikuizi mbona wanakubadilishia jina Hapo utaambiwa mteja aliorder ndizi nyama sio supu ya ndizi 😁..
Juzi kati Kuna mahali niliagiza chips kavu nikaletewa wamezikausha zinataka kuwa kama crips.
Nikacomplain naambiwa ulipress order ya french fries 🍟 wakati nlipiga simu kuwaambia kwa mdomo chips kavu 😂😂😂😂
Mjini akili nyingi vinginevyo angekula hasara
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom