Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,620
- 46,261
Serikali amrisheni sehemu zote zinazouza vyakula ziwe na masinki au ndoo za maji za kunawa mikono(sio kunawa kwa vikombe na majagi katika bakuli)na zisitumbukizwe majagi au bakuli za kunawia.
Pia wapeni elimu raia wakati muhimu zaidi wa kunawa mikono na sabuni ni kabla ya kula na sio baada, raia wengi wateja wa vyakula na wahudumu wengi wanaelewa kinyume.
Ni aibu katika karne hii watu hawajui umuhimu na jinsi bora ya kunawa mikono.
Pia wapeni elimu raia wakati muhimu zaidi wa kunawa mikono na sabuni ni kabla ya kula na sio baada, raia wengi wateja wa vyakula na wahudumu wengi wanaelewa kinyume.
Ni aibu katika karne hii watu hawajui umuhimu na jinsi bora ya kunawa mikono.