Mlipuko ulisababishwa na kombora kutoka nje?

Mara nyingi hata baada ya forensic investigation, after facts zinabaki kuwa siri kwa nchi yetu kwenye tukio kama la Jpili.
 
And we have to learn the hard way to think outside the box!!! labda kuna ukweli, who knows!!!
 
Japo mnamvamia mwanzisha hoja nadhani ni kwakuwa kasema 'Ni mara chache yeye kuchangia JF' ila nikiri kuwa huyu si raia wa kwanza kutoa kauli hii...

Ni mtu wa nne nasikia anatoa kauli hii, wa kwanza si member wa JF na nadhani hata haijui JF, alinifahamisha kuwa aliona kitu kama kimondo kikionekana kuelekea maeneo ya Tabata (yeye yupo Ubungo) na baadae kikafuatiwa na mshindo mzito, dakika kama 10 baadae ndo akasikia kuwa kuna milipuko ya mabomu. Mwingine yupo Njia Panda ya Segerea, raia mwenye kuuza genge maeneo hayo alisema almost kitu kilekile.

Hii kitu si ya kupuuza, vyombo vyetu vya usalama vijaribu kuangalia kama kulikuwa na shambulizi toka nje, inawezekana sana japo wengi mnapinga...

Bull, acha kueneza udini kwenye sensitive issues kama hizi mkuu

Sidhani kama ni shambulizi mkuu...it can be a pure case of a meteorite fall. Hili ni tukio la kawaida kisayansi. Sidhani kama kuna nchi yeyote yenye muda wa ku-attack Tanzania.
 
haya bwana tuendelee ku-speculate,huenda tukapata majibu ya nini chanzo,sababu na ninani wa kulaumiwa.
Kabla ya kuendelea sana,hivi ni kipi kinasafiri haraka zaidi kati ya mwanga na sauti?
Je makombora/mabomu yaliyokuwa GOMS yanapolipuka huwa yanatoa mwanga au hayatoi?
 
Japo mnamvamia mwanzisha hoja nadhani ni kwakuwa kasema 'Ni mara chache yeye kuchangia JF' ila nikiri kuwa huyu si raia wa kwanza kutoa kauli hii...

Ni mtu wa nne nasikia anatoa kauli hii, wa kwanza si member wa JF na nadhani hata haijui JF, alinifahamisha kuwa aliona kitu kama kimondo kikionekana kuelekea maeneo ya Tabata (yeye yupo Ubungo) na baadae kikafuatiwa na mshindo mzito, dakika kama 10 baadae ndo akasikia kuwa kuna milipuko ya mabomu. Mwingine yupo Njia Panda ya Segerea, raia mwenye kuuza genge maeneo hayo alisema almost kitu kilekile.

Hii kitu si ya kupuuza, vyombo vyetu vya usalama vijaribu kuangalia kama kulikuwa na shambulizi toka nje, inawezekana sana japo wengi mnapinga...

Bull, acha kueneza udini kwenye sensitive issues kama hizi mkuu


watanzania watu wa amani na utulivu bwana.

kwanza mkuu wao (anayefikiria kwa niaba yao) kawaambia wasisikilize redio mbao.
 
kikulacho ki nguoni mwako

Kwa nini wa-attack sehemu moja alafu wakae kimya? Au tukae mkao wa kusubiri attack nyingine. There is a simple and plausible explanation nimeweka hapo. Ghala limeangukiwa na meteorite. Especially kutoka kwa post ya Invisible...watu kadhaa wamedhibitisha kuona mwangaza angani kabla ya huo mlipuko. Angalia hiyo video uone hali kama haiendani na huo uthibitisho.
 
Japo mnamvamia mwanzisha hoja nadhani ni kwakuwa kasema 'Ni mara chache yeye kuchangia JF' ila nikiri kuwa huyu si raia wa kwanza kutoa kauli hii...

Ni mtu wa nne nasikia anatoa kauli hii, wa kwanza si member wa JF na nadhani hata haijui JF, alinifahamisha kuwa aliona kitu kama kimondo kikionekana kuelekea maeneo ya Tabata (yeye yupo Ubungo) na baadae kikafuatiwa na mshindo mzito, dakika kama 10 baadae ndo akasikia kuwa kuna milipuko ya mabomu. Mwingine yupo Njia Panda ya Segerea, raia mwenye kuuza genge maeneo hayo alisema almost kitu kilekile.

Hii kitu si ya kupuuza, vyombo vyetu vya usalama vijaribu kuangalia kama kulikuwa na shambulizi toka nje, inawezekana sana japo wengi mnapinga...

Bull, acha kueneza udini kwenye sensitive issues kama hizi mkuu

mkuu .... hiyo speculation ya kitu kama kimondo is very simple ... rocket propelled bomb ndiyo inawezekana ilifyatuka ya kwanza baada ya mabomu madogo kulipuka .... kwani hii military arsenal ilikuwa na bombs and various ammunitions ..... nadhani tungeanza kutafuta ukweli kwa kuangalia internal causes...

swali langu ni kwamba ...kama kuna shambulio kutoka nje ..kwanini anayeshambulia asilipue makazi ya watu direct na badala yake akalipue maghala ya mabomu...? ... je lengo lake ni kuharibu mabomu au kuharibu kambi ya jeshi na makazi ya raia ....?
 
acheni mambo yenu, kombora litoke nje kwa nani, tz tuna mtu gani wa kupigana naye? hivi unawaju watz wewe, tulivyo na kiburi cha kupigana, ikitokea vita na nch ingne tz hapa wanajeshi watafurahi sana mbona wanapenda sana kupigana wanajeshi wetu, adui gani tuliye naye wa kutufanyia hivyo, huu ni uzushi wa kupoteza muda kuchangia..
 
Sidhani kama ni shambulizi mkuu...it can be a pure case of a meteorite fall. Hili ni tukio la kawaida kisayansi. Sidhani kama kuna nchi yeyote yenye muda wa ku-attack Tanzania.
Mkuu,

Dhamira yangu ni kuwafanya watu wafikirie kwa mapana, well, twaweza dhania 'hatuwezi shambuliwa' lakini nalo baadae likaja jirudia kwa Lugalo kupigwa na the same 'kimondo style' na tukapuuza kuwa tunaendelea kuunda tume etc...

Kuna hilo la 'meteorite fall' nakubaliana nawe mkuu, JWTZ hawatakiwi kupuuza maoni ya wananchi walioona vitu vyenye mwelekeo huu, badala ya kuandikwa habari za kupikwa vikipatikana vifaa vya ku-detect incidence ilitokeaje basi wakijua kuwa wananchi waliona na hili linaweza kutupa conclusion moja nzuri sana, aidha ni pigo la kulengwa, manake tunawalipizia maadui ama ni pigo toka kwa Mungu ili tubadilishe silaha zetu!

Ni hayo tu mkuu
 
Mkuu,

Dhamira yangu ni kuwafanya watu wafikirie kwa mapana, well, twaweza dhania 'hatuwezi shambuliwa' lakini nalo baadae likaja jirudia kwa Lugalo kupigwa na the same 'kimondo style' na tukapuuza kuwa tunaendelea kuunda tume etc...

Kuna hilo la 'meteorite fall' nakubaliana nawe mkuu, JWTZ hawatakiwi kupuuza maoni ya wananchi walioona vitu vyenye mwelekeo huu, badala ya kuandikwa habari za kupikwa vikipatikana vifaa vya ku-detect incidence ilitokeaje basi wakijua kuwa wananchi waliona na hili linaweza kutupa conclusion moja nzuri sana, aidha ni pigo la kulengwa, manake tunawalipizia maadui ama ni pigo toka kwa Mungu ili tubadilishe silaha zetu!

Ni hayo tu mkuu

True. Lakini itakuwa kitu cha kubahatisha kweli kama ni meteorite. I think it's fascinating kama ni hivyo. Sasa sijui kama bado watu watalia kuwa Mwinyi na wengine wa-resign ikija kujulikana kuwa na 'Act of God' au hata ya adui.
 
Mara nyingi hata baada ya forensic investigation, after facts zinabaki kuwa siri kwa nchi yetu kwenye tukio kama la Jpili.

Mkuu Jpili kuna tukio gani tena lililotokea na lilitokea wapi?? Mbona sielewi elewi! Inatisha eeeee!!
 
True. Lakini itakuwa kitu cha kubahatisha kweli kama ni meteorite. I think it's fascinating kama ni hivyo. Sasa sijui kama bado watu watalia kuwa Mwinyi na wengine wa-resign ikija kujulikana kuwa na 'Act of God' au hata ya adui.

mkuu ...if this is the case , it is more than a coincidence and it will not be unfold or revealed unless again the Acts of God prevail
 
Ni kweli kabisa, sie tupo Ubungo Msewe na tulikiona hicho kitu ila kilikuwa na mkia tofauti na pia kiasi fulani ulikuwa siyo wa kawaida. Baada ya hapo tukaanza kusikia milio tukajua ni Radi, kama dkk 5 bdae ndio tukajua kuna mabomu yanalipuka.
Ila labda lilikuwa ni bomu la mwanzo mwanzo kulipuka, nahisi hivyo,cjui


Walikosea target?? mAbomu na kimondo wapi na wapi!! Usituzuge. MAbomu yalikwisha muda wake yakakasirika yakafanya yalichofanya!!
 
True. Lakini itakuwa kitu cha kubahatisha kweli kama ni meteorite. I think it's fascinating kama ni hivyo. Sasa sijui kama bado watu watalia kuwa Mwinyi na wengine wa-resign ikija kujulikana kuwa na 'Act of God' au hata ya adui.


eheee kuresign lazima maana inaonekana kuwa hatuna ulinzi na ilihali wanalipwa salaries na accom.za bure.
 
Kwa nini wa-attack sehemu moja alafu wakae kimya? Au tukae mkao wa kusubiri attack nyingine. There is a simple and plausible explanation nimeweka hapo. Ghala limeangukiwa na meteorite. Especially kutoka kwa post ya Invisible...watu kadhaa wamedhibitisha kuona mwangaza angani kabla ya huo mlipuko. Angalia hiyo video uone hali kama haiendani na huo uthibitisho.

kimondo huwa siyo fragile. tena huwa ni jiwe lisilobondeka na kitu chochote cha dunia hii. kwa hiyo turuhusu 'tume huru' ifanye utafiti wake pengine tutaoneshwa hicho kimondo kilichopiga ghala ya jeshi letu.
 
True. Lakini itakuwa kitu cha kubahatisha kweli kama ni meteorite. I think it's fascinating kama ni hivyo. Sasa sijui kama bado watu watalia kuwa Mwinyi na wengine wa-resign ikija kujulikana kuwa na 'Act of God' au hata ya adui.
Sasa mkuu nikuulize...

Ni ipi kazi ya Waziri wa Ulinzi? Ni ipi kazi ya CDF? Ni ipi kazi ya TISS?

Ikiwa ni "act of God" hata mimi na wewe hatuwezi kuwalaumu, lakini endapo ikagundulika tumeanza kushambuliwa basi serikali nzima haina budi kuliachia taifa, JK mwenyewe kwa kinywa chake alidai "hakuna tishio la amani toka nje wala ndani ya nchi".
 
mkuu ...if this is the case , it is more than a coincidence and it will not be unfold or revealed unless again the Acts of God prevail

itabidi waende kukagua hilo eneo kwa makini. Hii kitu inaanguka kwa spidi kubwa mno kiasi kama umefuatilia incidents zake, mara nyingi ripoti zinaonyesha inaingia ardhini kabisa. Na kwa moto wake na spidi inayoanguka, it is obvious kuwa itakuwa na uwezo wa kulipua bomu.
Pili, kama ulisikiliza maelezo ya jeshi, pia nayo yanaendana na ripoti mbalimbali za hii incident. Maana walinzi wa hizo ghala nao walisikia mlipuko mkubwa kwanza. Walipoenda kutoa ripoti, ndo shughuli ilianza. Ukisoma hizi ripoti za cases za meteorite hits, watu wanasema kunakuwa na mlipuko mkubwa.
I find this amazingly fascinating. Odds za hii kitu kuwa kweli ni ndogo sana, but it seems to be the case. Kama ni ovyo basi Mkwere ana bahati mbaya kweli...
 
Back
Top Bottom