Mlipuko tena Arusha, jeshi la Polisi watuhumiwa

Mlipuko tena Arusha, jeshi la Polisi watuhumiwa

Kwa hiyo unataka kutuambia polisi wetu ni vichaa au?

Hapo gongo haijaruhusiwa mnapost vitu kama hivi ikiruhusiwa itakuwaje?

pumbaf zako. Hv wewe una roho au mavi. Unashabikia nn sasa hapa. Badala ya kusikitika kwa yaliyotokea unakurupuka na hoja from nowhere kama mwendawazimu! Tusilazimishane Ban kwa nguvu bwana. Lukosi unaboa mno! Mzxxh...
 
poleni wahanga kwa yaliyowakuta. Ni bahati mbaya sana wahalifu hawatapatikana ila uchunguzi ndio utafanyika na kauli za kulaani tukio kutoka kwa viongozi zitakuwa nyingi, viongozi wengi wataendakuona wagonjwa hospitalini huo ndio msaada mkubwa utakaopatikana.
 
Mi nipo Arusha Leganga na nasali kanisa la Mtakatfu Karoli Lwanga.Ni kwel kuna waumin 6 akiwemo wanakwaya 2 walipigwa bomu na polisi.waumini hao walikuwa wanatoka katika misa ya mkesha.Wakielekea makwao mtaa wa Magadini walipita polis na kuwarushia bom ambapo wote 6 walipata majeraha.
 
Kwa hiyo unataka kutuambia polisi wetu ni vichaa au?

Hapo gongo haijaruhusiwa mnapost vitu kama hivi ikiruhusiwa itakuwaje?

Sasa lile bomu lililookotwa pale shekilango,halafu baadaye tunakuja kuonyeshwa kipande cha plastiki tunaambiwa sio bomu,unataka kuniambia polisi wana akili?wamedondosha bomu halafu wanakwepa kuwajibishana matokeo yake wanajaribu kuficha ukweli.tz kazi tunayo
 
Ukiangalia kwa undani sana kuna mapungufu katika habari hii,unakwenda kufanya ugaidi halafu unatumia vyombo vya usafiri vinavyokutambusha wewe ni nani),wakati kwa arusha kuna magari kibao ys kukodi au magari binafsi ya hao polisi,just thinking loud!

Uko sahihi. Ni vigumu kuamini.
 
Moods naomba mbadilishe prefix its no longer tetesi huu ni ukweli mtupu juu ya polisi wa Bongo.
 
Guardian la leo 3/1/2014 limeriport habari hii, na inasemekana polisi ndio waliorusha bomu, na RPC Liberatus Sabbas amesema atatoa maelezo leo. Lakini daily news wala halijagusia habari hii. Tukio kama hilo limetokea Jtano, polisi wanataka kutoa taarifa Ijumaa, kweli hata taarifa za awali zinachukua siku mbili?
 
Ukiangalia kwa undani sana kuna mapungufu katika habari hii,unakwenda kufanya ugaidi halafu unatumia vyombo vya usafiri vinavyokutambusha wewe ni nani),wakati kwa arusha kuna magari kibao ys kukodi au magari binafsi ya hao polisi,just thinking loud!

Lema at work.....
 
pumbaf zako. Hv wewe una roho au mavi. Unashabikia nn sasa hapa. Badala ya kusikitika kwa yaliyotokea unakurupuka na hoja from nowhere kama mwendawazimu! Tusilazimishane Ban kwa nguvu bwana. Lukosi unaboa mno! Mzxxh...

Polisi hawawezi kutumia full identity yao wakati wa kufanya jambo lililokinyume na sheria, fikiri vizuri wewe! Hizo ni propaganda za Jambazi na wenzake wameshakunywa gongo.
 
Guardian la leo 3/1/2014 limeriport habari hii, na inasemekana polisi ndio waliorusha bomu, na RPC Liberatus Sabbas amesema atatoa maelezo leo. Lakini daily news wala halijagusia habari hii. Tukio kama hilo limetokea Jtano, polisi wanataka kutoa taarifa Ijumaa, kweli hata taarifa za awali zinachukua siku mbili?

The Guardian!!!!!......
 
Jamani tusiwe wazushi kiasi hicho. Polisi...warushe bomu....hii haiingii akilini. Kinachofanyika, ni wahuni wanaolenga kuleta mtafaruku wa kidini wamebandika gari yao gundi nyeupe za maandishi ya polisi na kuamua kufanya uhuni huu. Ngoja tumsikie kamanda Sabas atasema nini na nakuhakikishieni kuwa wahuni hao watapatikana kwa udi ama uvumba...chezea Mangu wewe...
MLIPUKO TENA ARUSHA, JESHI LA POLISI WATUHUMIWA



Taarifa ambazo zimetufikia kupitia kituo cha WAPO Radio FM zinaeleza kwamba kuna bomu limelipuliwa kwenye kanisa katoliki la Mtakatifu Karoli, Ruanga huko USA River jijini Arusha, ambapo wanakwaya takriban 6 wamejeruhiwa.


Kwa mujibu wa taarifa hizo ambazo zimetufikia, zinaeleza kwamba watuhumiwa ni jeshi la Polisi, na kwamba walirusha kitu kinachosadikiwa kuwa bomu - lililojeruhi 6, ambapo 4 kati yao wameruhusiwa baada ya matibabu kwenye hospitali ya Mission na ya Wilaya ya Arumeru.


Majira ya saa sita na nusu, waumini walidai kuona gari la polisi likipita kwa kasi, na lilipowakaribia walistuka mlipuko ukiwarusha pembeni, ambapo walijikuta na majeraha na usoni, mapajani na maeneo mbalimbali ya mwili. Kisha baada ya hapo gari ilisogea mbele na kuanza kurusha mabomu kwa watu wowote iliokutana nao.


Hadi sasa inaelezwa kuwa uchunguzi umeshaanza kufanyika, huku Kamanda Liberatus Sabas akikataa kuzungumzia zaidi suala hilo. Alipotafutwa na WAPO Radio FM, hakueleza kwa kina, lakini akasema kuwa sio suala la kwaya kama ambavyo imeelezwa, bali ni wakinadada wawili na kwamba hawezi kuzungumza zaidi, bali kesho (Ijumaa) atatoa taarifa rasmi na iliyo kamili kwa vyombo vya habari.


Alipoulizwa kuwa kama ni kweli jeshi la Polisi linatuhumiwa kuhusika, alisema kuwa atazungumza kesho kuhusiana na tukio hilo. Tukio hili limetokea ikiwa ni siku mbili zimepita tokea kuapishwa kwa Inspekta Jenerali wa Polisi mpya, Ernest Mangu ambaye amechukua nafasi ya IJP Said Mwema aliyestaafu.

Source: Gospel Kitaa.
 
Jamani tusiwe wazushi kiasi hicho. Polisi...warushe bomu....hii haiingii akilini. Kinachofanyika, ni wahuni wanaolenga kuleta mtafaruku wa kidini wamebandika gari yao gundi nyeupe za maandishi ya polisi na kuamua kufanya uhuni huu. Ngoja tumsikie kamanda Sabas atasema nini na nakuhakikishieni kuwa wahuni hao watapatikana kwa udi ama uvumba...chezea Mangu wewe...

Umesoma magazeti ya leo Mr??

kama hujasoma kwenye huu uzi mbona Liberatus Sabbas kaliongelea na kaahidi ufafanuzi zaidi leo, kama sio wao kweli wanahusika iweje aseme hivyo???
 
Polisi hawawezi kutumia full identity yao wakati wa kufanya jambo lililokinyume na sheria, fikiri vizuri wewe! Hizo ni propaganda za Jambazi na wenzake wameshakunywa gongo.

soma magazeti ya leo!
 
Mkuu tuzungumze ukweli!! Je kwa akili za wewe msomi unaweza kuamini Kuwa police wanahusika ???

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Mkuu tuzungumze ukweli!! Je kwa akili za wewe msomi unaweza kuamini Kuwa police wanahusika ???

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

We unadhani labda ni nani??

Alafu umeisoma Habari vizuri ukamnote Liberatus Sabbas vyema??
 
Ukiangalia kwa undani sana kuna mapungufu katika habari hii,unakwenda kufanya ugaidi halafu unatumia vyombo vya usafiri vinavyokutambusha wewe ni nani),wakati kwa arusha kuna magari kibao ys kukodi au magari binafsi ya hao polisi,just thinking loud!

Kosa au tatizo au chanzo nini hadi waumini wapigwe bomu? Bado me hii habar cjaielewa!
 
Sasa hao wavuta bangi wanatuhusu nini sisi huku bongo!?

Au kwa sababu wazungu basi hata mavi yao mali!
Kule ni colorado na huku ni bongoland!!

Wacha kuwa mtumwa wa kiakili wewe! Hapa bado tunapigania CDM wapigwe chini 2014 ili hio GONGO isihalalishwe!
Halafu we unataka kutuletea habari ya bangi tena!!?

Huna adabu kabisa we kijana!

Wakati ule wa sungusungu mtu kama wewe tunapiga mikwaju ya viganja siku nyingine usiweze kuandika utumbo wa namna hii.

Mkuu, kama yeye anaona bangi inamfaa,avute yeye na familia yake yote,asituchanganye hapa!
 
MLIPUKO TENA ARUSHA, JESHI LA POLISI WATUHUMIWA



Taarifa ambazo zimetufikia kupitia kituo cha WAPO Radio FM zinaeleza kwamba kuna bomu limelipuliwa kwenye kanisa katoliki la Mtakatifu Karoli, Ruanga huko USA River jijini Arusha, ambapo wanakwaya takriban 6 wamejeruhiwa.


Kwa mujibu wa taarifa hizo ambazo zimetufikia, zinaeleza kwamba watuhumiwa ni jeshi la Polisi, na kwamba walirusha kitu kinachosadikiwa kuwa bomu - lililojeruhi 6, ambapo 4 kati yao wameruhusiwa baada ya matibabu kwenye hospitali ya Mission na ya Wilaya ya Arumeru.


Majira ya saa sita na nusu, waumini walidai kuona gari la polisi likipita kwa kasi, na lilipowakaribia walistuka mlipuko ukiwarusha pembeni, ambapo walijikuta na majeraha na usoni, mapajani na maeneo mbalimbali ya mwili. Kisha baada ya hapo gari ilisogea mbele na kuanza kurusha mabomu kwa watu wowote iliokutana nao.


Hadi sasa inaelezwa kuwa uchunguzi umeshaanza kufanyika, huku Kamanda Liberatus Sabas akikataa kuzungumzia zaidi suala hilo. Alipotafutwa na WAPO Radio FM, hakueleza kwa kina, lakini akasema kuwa sio suala la kwaya kama ambavyo imeelezwa, bali ni wakinadada wawili na kwamba hawezi kuzungumza zaidi, bali kesho (Ijumaa) atatoa taarifa rasmi na iliyo kamili kwa vyombo vya habari.


Alipoulizwa kuwa kama ni kweli jeshi la Polisi linatuhumiwa kuhusika, alisema kuwa atazungumza kesho kuhusiana na tukio hilo. Tukio hili limetokea ikiwa ni siku mbili zimepita tokea kuapishwa kwa Inspekta Jenerali wa Polisi mpya, Ernest Mangu ambaye amechukua nafasi ya IJP Said Mwema aliyestaafu.

Source: Gospel Kitaa.

Tanganyika ni Magaidi kila siku mabomu kanisani., watu wabaya sana hawa.,
 
Back
Top Bottom