Mlipuko tena Arusha, jeshi la Polisi watuhumiwa

Mlipuko tena Arusha, jeshi la Polisi watuhumiwa

ikiruhusiwa tutakuning'iniza kichwa chini miguu juu angalau zidondoke chenchi chenchi za rambirambi tuziwakilishe kwa muhusika.

Ha ha ha haaaaaaa ha haaaaaaaaaa,uuuuuh!! Mbavu zangu mie
 
Wanatekeleza kaulimbiu "wapigwe tu" jamani ndugu zangu tutaendelea kuona udharimu wa serikali hii mpaka lini?
wanaua tembo wetu, wanagawana raslimari zetu, wanaangamiza vijana kwa madawa ya kulevyo na hatimaye wanatulipua kwa mabomu bila sababu!!
Tunasubiri nini kuamua??
 
Kwa hiyo unataka kutuambia polisi wetu ni vichaa au?

Hapo gongo haijaruhusiwa mnapost vitu kama hivi ikiruhusiwa itakuwaje?
Nini Gongo? Colorado (USA) wameanza kuuza bangi rasmi kihalali toka jana
Watu wanajadili kwa mshtuko wewe unachafua
Issue ni kutafuta ukweli wa habari na sio kukashifu
 
hahaha Leo naona umeamka vibaya mkuu. hawa vijana wetu hawa tabu sana...

Lukansola hawa jamaa wanakera sana, wanatetea mijitu iliyotufelisha kama taifa. yaani nimekereka leo nipoenda kununua umeme nauziwa unit moja kwa Tsh. 334
akitokezea wa stail ya mabina kwenye 18 zangu sitafanya makosa, ni utekelezaji tu.
 
Last edited by a moderator:
ikiruhusiwa tutakuning'iniza kichwa chini miguu juu angalau zidondoke chenchi chenchi za rambirambi tuziwakilishe kwa muhusika.
Mkuu nitakuwa sikatizi mitaa yenu sasa, manake hii ishu ya kitengo cha rambi rambi inaelekea mnanionea wivu sana.

Mbona Msigwa akila hamsemi?
 
Jamani watanzania wenzangu tujaribu kuukwepa uchochezi wa namna hii maana unaweza kupeleka taifa letu pabaya.sihamini na sitaki kuhamini kma polisi wetu wazalendo wanaweza kufanya kitu nönsense kma hicho!! Ni vizuri tukasubiri taarifa rasmi ambayo itatupa picha kamili ya tukio na mwisho sisi wadau kuanza kuichambua pasipo kuweka ushabiki wa kisiasa,maana hapa tunazungumzia maisha ya watanzania.
 
Kwa hiyo unataka kutuambia polisi wetu ni vichaa au?

Hapo gongo haijaruhusiwa mnapost vitu kama hivi ikiruhusiwa itakuwaje?

Polisi wa sikuhizi wanavuta bangi na kunywa viroba ndo wanaenda kwenye malindo ni hatari tupu sishangai kama ni wao, na Polisi wengine mikono yao inawashwa hawajawahi kufyatua risasi tangu waajiriwe jeshini unadhani mtu kama huyo ataacha kulipiga hata la machozi
 
TOKA saa Sita?? Ndo IMEKUWA breaking news??? KWELI gongo iruhusiwe tu
 
namshukuru MUNGU KWA kuniwezesha kuikataa kazi ya polisi , vinginevyo ningefedheheka sana .
 
Kwa hiyo unataka kutuambia polisi wetu ni vichaa au?

Hapo gongo haijaruhusiwa mnapost vitu kama hivi ikiruhusiwa itakuwaje?

Na ikithibitika kuwa ni kweli, tujue nani mnywa gongo: aliyeandika ukweli au wewe unayepingana na ukweli?
 
Hilo bomu mbona tusilisikie ? Au litakuwa ni bomu la ushuzi ? Acheni uwongo wenu bhana
 
Matukio haya ni ya kutengenezwa kwa lengo la kuichafua jeshi la polisi na viongozi wake waliyochaguliwa hivi karibuni. Tatizo la watanzania wengi hawachunguzi kwa kina namna habari ilivyotolewa kwa kasoro nyingi sana kama mapolisi kutumia magari yao ambayo inayoonyesha taswira yao. Hivyo tuwe makini na habari hizi na tuwe wachambuzi wazuri ili uchambuzi wetu uthaminike na iigwe.
 
Back
Top Bottom