Polisi hawawezi kutumia full identity yao wakati wa kufanya jambo lililokinyume na sheria, fikiri vizuri wewe! Hizo ni propaganda za Jambazi na wenzake wameshakunywa gongo.
Kwa hiyo unataka kutuambia polisi wetu ni vichaa au?
Hapo gongo haijaruhusiwa mnapost vitu kama hivi ikiruhusiwa itakuwaje?
polepole waislamu mtatumaliza!
polepole waislamu mtatumaliza!
Kwa hiyo unataka kutuambia polisi wetu ni vichaa au?
Hapo gongo haijaruhusiwa mnapost vitu kama hivi ikiruhusiwa itakuwaje?