Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,077
Mo sa d
Nalog off
Nalog off
Hamna mtu aliye bora mbele ya Mungu hii ilivunjwa wakati wakuzaliwa kwa Yesu na ndio maana watu wa kwanza kumwona Yesu ukiachana na yule nabii aliyeahidiwa kabla ya kufa atamwona Yesu,walitoka nje ya Israel moja ya nchi hiyo ilikuwa Ethiopia.Sasa hapo ndio muone maajabu ya Mungu wa kweli wa ISRAEL wala israel haijahusika kulipua na hizo material zilizolipuka walikuwa wanaandaa silaha za maangamizI dhidi yaya watu wa Mungu wa kweli wayahudi. Ukitaka mambo yako yasikunyookee kuwa adui wa Israel. Sasa hivi mataifa mengi ya kiislamu yamegundua hili Omani, saudia, UAE, Maroc n.k kwa kichinichini na kujifichajificha kama nikodemu wanampigiaga simu netanyahu. Majuzi tu hapa Somaliland wanataka diplomasia na israel hadi wenzao Mogadishu wakaja juu.
hearly
Israel hausiki, embu tafuteni vyanzo vya habari au mumsikilize waziri mkuu wa Lebanon anasemaje. Sio kila kitu Israel IsraelDhuuu Israel mbona hatar huyu
Ndo hao ukisoma michango yao unabaki ucheke tukuna mdau ana kwambia video ni editing utazan alikuepo eneo la tukio vile
Hawa jamaa Mossad Ni balaa. Wakiamua hata Ramallah inafutika fasta. waliwahi kumuwekea kamanda flan wa Syria mtego wa mrembo jamaa akaoa mke wa Pili kumbe snitchMossad hao na hatakaa muwajue
Yaani mpaka inasikitisha, mbaya zaidi ujui uanzie wapi kuwasahihisha vinginevyo uwe tayari kwa mabishanoHahaa kuna watu wanalishana matango pori humu daahhhh!!!!!
Hahaa kuna wakati ukimya huwa ni action bora ..so waache tu wajazane upepoYaani mpaka inasikitisha, mbaya zaidi ujui uanzie wapi kuwasahihisha vinginevyo uwe tayari kwa mabishano
Washawau sana hao wanasayansi wao tena kizembe saaaaanaHawa jamaa Mossad Ni balaa. Wakiamua hata Ramallah inafutika fasta. waliwahi kumuwekea kamanda flan wa Syria mtego wa mrembo jamaa akaoa mke wa Pili kumbe snitch
We njoo Kuna mtu amejimilikisha kila kinachoitwa Nini hapa tz njoo utupunguzie huyu mtu tu.mimi ndie nimeuteketeza, vp ulitaka nihamie Tz yenu???
Na itawatokea puani wale watu hawana wema kabisa, bado kidogo wataanza kudai haki zao hapo ndiyo mtiti utaanziaWengi wanakimbilia na kupata Uraia Ulaya hasa Ujerumani. Ipo siku jamaa watajuta kuwakaribisha. Wamanga wenzao Saudia wamekausha tu, wanawasubiria wakienda kutalii tu Ili wazile Dola zao tu
jamaa walikuwa wanachomelea geti...
Kweli kabisa, wale hawachagui hovyo hovyo, si unaona yule mpinzani wake wakaribu tena ndiye alishinda kiti hicho cha PM lakini kashindwa know serikali.PM wa Israel huwa anatumia Kiebrania na hawezi kuwa mpumbavu kukiri hata kama anahusika. Ajari haijatulia aanze kuropoka, unadhani Israel wanachagua viongozi takataka kama nchi za sehemu flani ya dunia.
naam hio ndo sababu.jamaa walikuwa wanachomelea geti...