Morogoro kaskazini
JF-Expert Member
- Jul 5, 2020
- 2,185
- 8,453
Inasemekana kuwa ilikuwa secrèt operation iliyofanywa na israel nasikia ilikuwa ndege ya f 15 ambayo ilibeba makombora ya glide specil for hard target penetration hivi ni kweli?Huyu ni mmoja wa majeruhi,anashukuru kaponea chupuchupu,,ule mlipuko haukuwa wa kitoto