dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,220
- 54,879
ile link ya insta yako hapo chini siioni tena mbona ?👀 hao watoto anaenda nao au ndio package ya 30k?
ile link ya insta yako hapo chini siioni tena mbona ?👀 hao watoto anaenda nao au ndio package ya 30k?
Ni kweli kabisa, kule Lodge za kizamani sana, nje zimepakwa rangi lakini ukiingia ndani ni za hovyo sana.Sure. Asiende. Kule juu lodge za zamani. Habaki uku chini.
Mapaka yapo hapo The Great Park 🙌🙌🙌
Pm zangu mkuu hujajibile link ya insta yako hapo chini siioni tena mbona ?
ya 15 na 20 ,zote zina tv na self,ila ya 20 ina maji ya moto na baridi,ya 15 ni baridi tu,ndani zote ziko poa,nenda SABASABA ROAD,ZIMEJAA KULE NA SAFI.Wajuvi wa lodge za hapo moro kuna tofauti gani kati ya guest za elfu 15, 20 na 30?
Nataka lodge nzuri kiasi lakini pawe na unafuu wa bei.
Mapopo ruksa kuelekeza viwanja vya bata
Halafu wewe tulikuwa wote hapo, Mimi kea mujibu wa mwaka 2005Vituo ni Iringa Road, Modeko, Kanisani, Ipo Ipo, FK, (nimekisahau), Kabla ya Reli, Shalom, Dark City, Unashuka hadi Darajani unaingia Mazimbu campus, Madukani, Double Up, Solomon Mahlangu, Unaanza zile Units .
Hio ni kwa mujibu wa mwaka 2006.
Hivi pale papya bei gani? Nilipita nikaona parking ya maana na mataa taa ya kuita hela zetu zilizopo mifukoniNenda msamvu nyuma ya gwami kula kitu ya kuchoma kwa Kimario ukitoka tuu hapo nende Karibu na gwami kwa Kushoto kuna vitu vipya ghorofa jipya msamvu oye
Haahaa usijali kiongoziIla Tanzania kuelewa swali ni mtihani mkubwa sana, imagine mtoa mada anataka sababu za utofauti wa bei za lodge lkn wananchi wanamuelekeza sehemu zinapopatikana lodge
mzee dronedrake........mawazo na maelekezo yako huwa yanaelewekapanda basi za Mazimbu, shuka kituo kimoja kabla ya Dark City (nimekisahau jina),
kuna lodge safi pale ya 30k
iko karibu na chuo cha SUA 😋
kama ni mzee wa watoto wa chuo basi utagegeda mpaka uchoke wewe
tena wepesi sana siyo kama hawa wa UDmzee dronedrake........mawazo na maelekezo yako huwa yanaeleweka
tatizo wana huwa hawafuati hizi codes
Hapo sasa........Ila Tanzania kuelewa swali ni mtihani mkubwa sana, imagine mtoa mada anataka sababu za utofauti wa bei za lodge lkn wananchi wanamuelekeza sehemu zinapopatikana lodge
All in all lodge ya 20,000 kushuka lazima uliwe kidogo na kunguni na malaria pembeniNyingi zinatofautiana ubora wa kunguni kuwa, makini usije ondoa na mifugo.
Thread ime evolve hadi mbinu za kupata mbususu.Ila Tanzania kuelewa swali ni mtihani mkubwa sana, imagine mtoa mada anataka sababu za utofauti wa bei za lodge lkn wananchi wanamuelekeza sehemu zinapopatikana lodge
Kama mtu atapata safari ya kwenda Turiani Wilaya ya Mvomero tafadhali hebu shukia Swahili Louge , hutajuta kbs Kwa huduma nzuri na pa kulala pazuri sana. Na bei ni rafiki sana. Karibuni nyote.!!Wajuvi wa lodge za hapo moro kuna tofauti gani kati ya guest za elfu 15, 20 na 30?
Nataka lodge nzuri kiasi lakini pawe na unafuu wa bei.
Mapopo ruksa kuelekeza viwanja vya bata
Search dollrubii_decorsile link ya insta yako hapo chini siioni tena mbona ?
Wananchi wameamua kumpa vitu mchanganyiko 😂Thread ime evolve hadi mbinu za kupata mbususu.
Sawa SawaJirani na Msamvu stand zipo za kutosha