National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,175
- 56,203
hatuna maana hiyo. Jeshi la sasa hivi ni technology mkuu tuna mengi ya kuboresha na ya kuvutia vijana wengi kwenda huko
hatuna maana hiyo. Jeshi la sasa hivi ni technology mkuu tuna mengi ya kuboresha na ya kuvutia vijana wengi kwenda huko
Usipende kuongelea mambo hayo kila sehem mkuu, unajua mtu asiye jihusisha na upuuzi huo huwa hapendi hata kusikia hizo mambo. Sasa nakushangaa unaongelea huo upuuzi hapa wakati mimi sijaongelea huo usenge hapa.Kama ww Upinde usiende utafia kambini
Fafanua kiundani kidogo mkuuWao wangefanya assessment ya hao walopitia jeshi na wasiopitia,
Unakuta wengi wa makamanda wana infiriority complex, wanaact kama robot kwa kigezo cha kutii amri.
Nasemaje nasemaje
Yoyote anaenihusu ambae ni wakike kamaliza form 6, jeshini haendi.
Mm napata shaka mtu akiniambia amejifunza uzalendo!Kweli uzalendo utajifunza Kwa kwenda kufanya mazoezi ?au kuhubiliwa maneno?Nimejifunza mengi ambayo sikuweka kwenye reply yangu nimejifunza ukakamavu uzalendo japo nchi inapigwa sana nimejifunza kuwa mvumilivu lakini pia nimeweka connection na wanangu ambao leo wapo sehemu tofauti usalama jw magereza polisi yaani sehemu kibao na wananisave kulingana na kazi zangu. Ya kujifunza ni mengi na faida zipo kibao huwezi linganisha mtu aliepita jkt na ambae hajapita.
Siyo muhimu, unless awe na passion ya kuwa mwanajeshi.Kwahyo wa kike asiende?
Nimeishia hapo mimi mkuu ila tu mwilo wangu hawataupata tena,Fafanua kiundani kidogo mkuu
Hakuna cha uzalendo wowote, majizi yote ya Ccm yamepitia JKT kwa mujibu wa sheria huko nyuma.Mm napata shaka mtu akiniambia amejifunza uzalendo!Kweli uzalendo utajifunza Kwa kwenda kufanya mazoezi ?au kuhubiliwa maneno?
Haya tuache hayo malalamiko yapo Kwa mabinti wa kike kufanyiwa mambo ya udhalilishaji je haya hawafanyiwi au ndio mmejifunza uzalendo wa kuficha ufedhuli huu?
Sent from my Infinix X6511E using JamiiForums mobile app
Waliosema unyanyasaji hawazungumzii aina ya chakula ,kunazungumzwa mambo kama kulazisha mabinti kufanya ngono na maofisa mabaladhuliAsubuhi chai maziwa mkate na yai au karanga, mchana ugali mkubwa na nyama, jioni wali maharage na chai ya rangi, sasa hapo unyanyasaji unatoka wapi.
Kikubwa ni kunywa maji mengi mpaka roho ielee, maana hiyo menu utailipia ni mwendo wa tizi tizi na kazi kazi haina kukata mauno.
Week tatu nne za mwanzo zinakuwaga ngumu unaweza torokea porini, ila baada ya hapo ukisha zoea asee ni patamu sana mpaka inafika siku ya kuondoka unatamani kulia, na lazima utapamisi sana
Ngono ipo mpaka makanisani kwenye nyumba ya Mungu.Waliosema unyanyasaji hawazungumzii aina ya chakula ,kunazungumzwa mambo kama kulazisha mabinti kufanya ngono na maofisa mabaladhuli
Sent from my Infinix X6511E using JamiiForums mobile app
Ile ni starehe hakuna anaefanyiwa ufedhuli madem nao wanapenda kunyanduliwa. Kama wanaonewa wakafungue mashtaka. Na ukishalita jkt kuna mambo kama ulizingatia huku mtaani unaona kawaida sasa dem kuliwa ni udhalilishaji? Mwanamke kazi yake ni kunyanduliwa inaeleweka toka kuubwa kwa duniaMm napata shaka mtu akiniambia amejifunza uzalendo!Kweli uzalendo utajifunza Kwa kwenda kufanya mazoezi ?au kuhubiliwa maneno?
Haya tuache hayo malalamiko yapo Kwa mabinti wa kike kufanyiwa mambo ya udhalilishaji je haya hawafanyiwi au ndio mmejifunza uzalendo wa kuficha ufedhuli huu?
Sent from my Infinix X6511E using JamiiForums mobile app
Kabisa mkuu wote walipitia JKT ndio hao Epa,kagoda , Richmond etcHakuna cha uzalendo wowote, majizi yote ya Ccm yamepitia JKT kwa mujibu wa sheria huko nyuma.
Kwa hiyo ikitokea wewe uwe na Binti Yako anyanduliwe bila ridhaa yake we kwako sawa tu ?Ile ni starehe hakuna anaefanyiwa ufedhuli madem nao wanapenda kunyanduliwa. Kama wanaonewa wakafungue mashtaka. Na ukishalita jkt kuna mambo kama ulizingatia huku mtaani unaona kawaida sasa dem kuliwa ni udhalilishaji? Mwanamke kazi yake ni kunyanduliwa inaeleweka toka kuubwa kwa dunia
Kama binti ni mzembe wa kazi, mpenda vitonga atajirahisisha mwenyewe ili apate unafuu, ila mabinti strong wanapiga mzigo tu fresh na wanakomaa na misimamo,Waliosema unyanyasaji hawazungumzii aina ya chakula ,kunazungumzwa mambo kama kulazisha mabinti kufanya ngono na maofisa mabaladhuli
Sent from my Infinix X6511E using JamiiForums mobile app