Mliooa wanawake wenye watoto hongereni sana

Mliooa wanawake wenye watoto hongereni sana

Weka mipaka ya kambi yako vizuri,,,, kwanza hakikisha mtoto awepo kwa baba yake na sio kwa mkeo,,
Pili hakikisha hana mawasiliano ya moja kwa moja na mzazi mwenzie (hapa udikteta utumike)
Hata akiwa kwa baba yake ataambiwa aende akamuone mtoto anaumwa,hata ukiwa dikteta vipi huwezi ukadhibiti uchepukaji
 
Sawa mtoto wa uswazi!
Ila kwa taarifa yako ni kwamba sio kila single mom katoswa kuna wengine wanaamua tu kuzaa na kuishi kivyao vyao!
Wengine ndo waliwatema walozaa nao na wengine hata alompa mimba hamjui.
Unarudi palepale, mwanaume dhaifu, unataka kusema mwanamke anaamka zake huko anaenda kubeba mimba afu miaka mitatu baadae anatafuta mwanaume wakuishi naye, hauko serious mkuu
 
Pole mkuu, tatizo wewe umeoa alioachwa na siyo aliyeacha.
Mwanamke akiacha Mara nyingi huwa harudi nyuma, ila akiachwa ni rahisi.
Hata wakiacha haimaanishi hawakumbuki jema hata moja huko walikotoka
 
Pole mkuu, tatizo wewe umeoa alioachwa na siyo aliyeacha.
Mwanamke akiacha Mara nyingi huwa harudi nyuma, ila akiachwa ni rahisi.
Umemwambia ukweli mtupu. Ukimwacha mwanaume. Unaanzaje kumrudia tena. Ataleta matumizi tu... Mazoea no
 
Hapana mkuu wengi wametulia sana labda kama we ulimpata mapepe tu!
Mapepe ni mapepe tu iwe kazaa au hajazaa!
Siku hizi single moms ndo habar ya mujini!
Ukitaka kufa haraka we date na wanavyuo mkuu hawajazaa lakini ni makahaba kuliko wa Ohio
😀 😀 kabis au baba mtoto ndo msumbufu sio mama
 
Dah Mkuu inaelekea ulikutana na mambo Konki konkii.....
Hilo liko wazi ikishakuwa hivyo kubali tu kwamba una mume mwenza,wanaopinga ama Ni wenzangu na Mimi au wale ambao waliachana na waliozaa nao
 
Write your reply... Mwenye uwezo wa kuoa mwanamke mwenye mtoto na mZazi mwenza yupo hajafa huyo mtu ana roho saba kama paka! yan labda mme wake awe amekufa, na hatakama hajafa kuoa aliezalishwa akaachwa huwezi jua kwanini akaachwa na mtoto.. Ni risk sana-bora kutafuta ambae hajazalishwa uanzishe kizazi chako.

9b
 
Write your reply... Mwenye uwezo wa kuoa mwanamke mwenye mtoto na mZazi mwenza yupo hajafa huyo mtu ana roho saba kama paka! yan labda mme wake awe amekufa, na hatakama hajafa kuoa aliezalishwa akaachwa huwezi jua kwanini akaachwa na mtoto.. Ni risk sana-bora kutafuta ambae hajazalishwa uanzishe kizazi chako.

9b
100%
 
Back
Top Bottom