Mliooa wanawake wenye watoto hongereni sana

Mliooa wanawake wenye watoto hongereni sana

Mm nimejiwekea malengo kuwa lazima nitaoa single mom naamini atakuwa amejifunza kwa kosa la kwanza hawezi kurudia kosa kama ana akili timamu niliteeni hao masingle mom nijitwalie mmoja ila mwenye maadili yake bora!!!
 
Mm nimejiwekea malengo kuwa lazima nitaoa single mom naamini atakuwa amejifunza kwa kosa la kwanza hawezi kurudia kosa kama ana akili timamu niliteeni hao masingle mom nijitwalie mmoja ila mwenye maadili yake bora!!!
Na wanajua mikao mingi oa tu
 
Single Mother inatokana na Wanaume kwa hiyo ni Binadamu kama Binadamu wengine.
 
Aisee ww dhaifu mpaka savh unalalamika??
Unavyolalamika sana unakuwa umefeli mtihani wa Mwnyz Mungu....ukiendelea kulalamika atakupa mtihani mwingine....

Wangapi wameoa bikra na wamesalitiwaa??? Kusalitiwa ni kusalitiwa tu haijalidhi amezaa au hajazaa, cha msingi kung'uta mavumbi laif liendelee
 
Binadamu wakishavuliana nguo huingia kwenye maagano,yaani Luna nguvu flani ya asili huwaunganisha,haijalishi muda gani utapita lakini wakitaka kukumbushia ni simple tu
Hili neno
 
Aisee ww dhaifu mpaka savh unalalamika??
Unavyolalamika sana unakuwa umefeli mtihani wa Mwnyz Mungu....ukiendelea kulalamika atakupa mtihani mwingine....

Wangapi wameoa bikra na wamesalitiwaa??? Kusalitiwa ni kusalitiwa tu haijalidhi amezaa au hajazaa, cha msingi kung'uta mavumbi laif liendelee
Uko sahihi kabisa,usaliti uko popote,kinachoniuma Mimi kujua kwamba leo katumiwa pesa na Mzazi mwenzake,Leo kaenda kumuona mtoto ambaye yupo kwa Mzazi mwenzake.
Ukisalitiwa na asiyekuwa na mtoto inakuwa siri huwezi ukajua mpaka itokee bahati mbaya sana,kwa aliyekwisha zaa unakuwa umeingia kwenye ya waume wawili
 
Back
Top Bottom