Kwanza mlitakiwa mfahamu kwa nini mlizungusha mikono na kudeki sana barabara..bahati mbaya hamkujua mlikua mnachochea moto wa gesi..mlitakiwa mjue kuwa kilichoifikisha nchi pale hadi mkataka mabadiliko ni urafiki, mitandao ya uchaguzi na wafanyabiashara..huyo wenu alikuwa navyo vyote hivyo..sisi tuliojiongeza na tuliofahamu rise and fall ya jk tukaona anayetufaa ni yule asiye na mitandao ya uchaguzi, wafanyabiashara na marafiki..na lengo lilitimia na nyote mashahidi..kwa Tanzania tulipofikia tulihitaji sana Kiongozi wa karba ya magufuli kuliko kufanya mahaba na mihemko..hata hivyo naona jpm Bado anatudekeza sana..kama kashindwa na yeye apishe wengine nchi isonge