Mliompigia debe Magufuli nawauliza swali...

Mliompigia debe Magufuli nawauliza swali...

Id hii uko salama sana hata Wazee wa System wakidukua haina shida, nami acha nijiunge na kina Prof Benson Bana.

Ninaunga Mkono hatua zote za Mh. Rais kwny kutekeleza majukumu yake ya kila Siku [emoji3][emoji3][emoji3]!
Id hii uko salama sana hata Wazee wa System wakidukua haina shida, nami acha nijiunge na kina Prof Benson Bana.

Ninaunga Mkono hatua zote za Mh. Rais kwny kutekeleza majukumu yake ya kila Siku [emoji3][emoji3][emoji3]!
Aisee Pohamba jiunge haraka mkuu!
 
Kwanza mlitakiwa mfahamu kwa nini mlizungusha mikono na kudeki sana barabara..bahati mbaya hamkujua mlikua mnachochea moto wa gesi..mlitakiwa mjue kuwa kilichoifikisha nchi pale hadi mkataka mabadiliko ni urafiki, mitandao ya uchaguzi na wafanyabiashara..huyo wenu alikuwa navyo vyote hivyo..sisi tuliojiongeza na tuliofahamu rise and fall ya jk tukaona anayetufaa ni yule asiye na mitandao ya uchaguzi, wafanyabiashara na marafiki..na lengo lilitimia na nyote mashahidi..kwa Tanzania tulipofikia tulihitaji sana Kiongozi wa karba ya magufuli kuliko kufanya mahaba na mihemko..hata hivyo naona jpm Bado anatudekeza sana..kama kashindwa na yeye apishe wengine nchi isonge
umesahau kama na nyinyi mlipiga pushap!labda anakudekeza we na familia yako
Ila 2020 hata akiunganisha na miereka hapati kura yangu pamoja na ukoo wangu wote
 
Ulimbukeni tu wa mitandao matokeo yake ndio haya!
 
Kwa hiyo tukusaidaje sasa? Kwa nini huyo Lubuva asikusaidie na wewe upate hizo kura?
Najua umetumwa kupereka umbea nasijui kama utamnsa mtu humu au niweke kila agizo ulilopewa hapa...
 
yupo bado na kiwewe,,bado hajaanza kuongoza
 
Najua umetumwa kupereka umbea nasijui kama utamnsa mtu humu au niweke kila agizo ulilopewa hapa...


Mimi ni free standing kama Ml.Kili, na ninatoa maoni yangu jinsi ninavyoona inafaa, sifwati mkumbo hata kama baadhi yenu!
 
Sawa kama mimi ni kichaa nakubali na kila Binadamu ana ukichaa kwa namna moja au nyingine, tusubiri 2020 tuone kama kuna atakayemzidi kwa kura Magufuli wetu!
sio wetu sema wako. usituunganishe na matatizo sisi hatujazoea
 
Mimi ni free standing kama Ml.Kili, na ninatoa maoni yangu jinsi ninavyoona inafaa, sifwati mkumbo hata kama baadhi yenu!
Ungekua free standing usingekubari kufanya kazi uliyotumwa hii ya kijinga mbona mwezio amewakubali lkn hawezi kufanya hivyo
 
Ni bomu kwako na una haki hiyo lkn usitake kulazimisha wote wamuone bomu kwa sababu wewe tu unamuona bomu, kubali pia matakwa ya wengine!

Ni chaguo la moyo wangu na sijutii kumchagua nasikitika wahuni kumsaliti mpinzani mjenga hoja wa kweli Dr.W.Slaa.

Ningechaguaje wahuni wanaoweza kubadili maamuzi yanayohusu hatima ya nchi angani? wamekaa miaka 5 hawajui nani awawakilishe hadi CCM iteme isiowataka.Naipenda nchi yangu sikubali kuiweka rehani kisa nione mtawala mwingine nje ya CCM.

JPM usituangushe usilegeze Kamba hadi ulimwengu ujue kuwa hii si nchi ya kihuni maana waanzilishi wake hawakuwa wahuni.

Shikamoo John Pombe Magufuli.Umekamata penyewe.
 
Wantanzania wengi wapo kama Unoka wa katika kitabu cha Things Fall Apart, babaye na Okonkwo, nadhani naeleweka namaanisha nini?
 
Vipi viongozi wenu wamerudi toka majuu au bado wanatumbua gawio la chama. Wewe unalalamika kuisoma namba wenzio wanatumbua gawio la chama!!
Shughuli ya chama kwa sasa wamemwachia mmiliki/mnunizi wa chama aendelee na chama chake.
Wameelekeza Ruzuku yao huko UN.... walichoenda kufanya hakijulikani.... ni kwenda kushangaa tu bila kuongea maana ile Lugha yule Mtukufu Mwenyekiti wao ndugu Yule haipandi.... labda kidogo 2ndu lakini naye anajua vifungu vya sheria Ya Bongo tu.
 
Waliopigia kura chama cha wapiga kura nafikiri wanajutia kura zao na sasa mahakama ndio hiyo ya mafisadi na dogo mbowe ameanza kuonja joto la jpm na Mr zero hana pa kushika mwenye ardhi yake kayachukuwa
 
JPM ameshushwa kuja kuiokoa tz,piga picha lile fisadi kuu lowassa lingekuwa president,wahuni wote wangekuwa serikalini,wapigaji wote serikalini,kapuku kama mimi ni wa kukojolea tu
inaonekana kwasasa unaletewa hela nyumbani
 
Kila mtu anajutaa namshukuru sana Mungu sikuwa mmoja wao Magufuli anaharibu sana nchi yetu
 
Ungekua free standing usingekubari kufanya kazi uliyotumwa hii ya kijinga mbona mwezio amewakubali lkn hawezi kufanya hivyo


Kwa hiyo nikiwa upande wa kumtukana na kumponda raisi wa JMTZ ndiyo ningeonekana nafanya kazi ya maana ila nikifanya kinyume chake nimetumwa, siyo? Hiyo demokrasia mnayoipigia kelele kila siku hapa mbona hamuishi? Au hamuelewi hata maana yake?
 
Back
Top Bottom