mxsdk
JF-Expert Member
- Aug 11, 2014
- 3,585
- 2,056
Labda kwa ila zenu za wizi..!CCM kwa wizi!?!?!??chama kimeshakosa dira na matumaini at a kwa wananchi maskini..!maskini aishi kama shetani tena?!??!Sawa kama mimi ni kichaa nakubali na kila Binadamu ana ukichaa kwa namna moja au nyingine, tusubiri 2020 tuone kama kuna atakayemzidi kwa kura Magufuli wetu!