Wale ambao wapo kwenye ndoa fanya yafuatayo utakuja kunishukuru
- Acha kushika wala kufuatilia simu ya wife.
- Usimpende kupita kiasi.
- Chukulia poa kila issues.
- Mwanamke yeyote duniani anatongozwa sana tu, kwa hiyo we potezea kumfuatilia wife, cha msingi usijue chochote.
- Kuwa busy kutafuta hela.
- Usimtegemee wife kwenye mambo yako, yeye akutegemee.
- Mfanye awe busy sana.
- Muombe Mungu akuepushe na tamaa ya wanawake.
- Usilete marafiki wako home, malizana bar huko huko. Ukiwaleta home wanatengeneza kuaminiwa na wife.
- Mzalishe sana tu awe busy na watoto wako. Akizaa hajatulia, mimba.
- Afanye kazi ambazo hahitaji kusafiri sana, hii utachapiwa.