Mlioko DAR mnawezaje kuishi huko

Mlioko DAR mnawezaje kuishi huko

aubasi

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2022
Posts
269
Reaction score
344
Salama wakuu!

Jana nilipata nafasi ya kuingia JIJI la daslam kwà takliban masaa manne tu na kuondoka.

Aisee jua ni kali sana.
Afu Biashara Dar kumbe ni kama mikoani huku tu,...maduka unasubiri eti mpaka saa mbili na nusu Asubuhi au saa tatu ndio yanafunguliwa, ( katikati ya mji ) Duuuh

Kilichonikera ni lile jua tu!

Kiukweli sikubahatika kuona pisi kali...

Niliona nyingi ni kama za mikoani tu...

Sent from my Redmi 8A using JamiiForums mobile app
 
Salama wakuu!

Jana nilipata nafasi ya kuingia JIJI la daslam kwà takliban masaa manne tu na kuondoka.

Aisee jua ni kali sana.
Afu Biashara Dar kumbe ni kama mikoani huku tu,...maduka unasubiri eti mpaka saa mbili na nusu Asubuhi au saa tatu ndio yanafunguliwa, ( katikati ya mji ) Duuuh

Kilichonikera ni lile jua tu!

Kiukweli sikubahatika kuona pisi kali...

Niliona nyingi ni kama za mikoani tu...

Sent from my Redmi 8A using JamiiForums mobile app

Yaani umekaa Dar masaa manne tu, tayari ushaijua Dar yote!!!
 
Siku nyingine uje jioni au usiku.
Pisikali huwa hazipigwi na jua kali.
Mchana zimejifungia ndani au zimelala.
Zinaamka saa 12 jioni kutafuta supu na kujiandaa viwanja.
Nakushauri pia utafute sun screen kuepuka jua kali.
 
Salama wakuu!

Jana nilipata nafasi ya kuingia JIJI la daslam kwà takliban masaa manne tu na kuondoka.

Aisee jua ni kali sana.
Afu Biashara Dar kumbe ni kama mikoani huku tu,...maduka unasubiri eti mpaka saa mbili na nusu Asubuhi au saa tatu ndio yanafunguliwa, ( katikati ya mji ) Duuuh

Kilichonikera ni lile jua tu!

Kiukweli sikubahatika kuona pisi kali...

Niliona nyingi ni kama za mikoani tu...

Sent from my Redmi 8A using JamiiForums mobile app
Utakua mlugaluga wewe..rudi kwenu ngarenaro.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
akili mtu wangu . ...yani nikupe laki 2 afu unitembeze bure!!!!

Hahahahahah

Ujue nacheka nini....ahahaha...HII NI MAAJABU!!!!

Sent from my Redmi 8A using JamiiForums mobile app
Amekueleza laki mbili ni za mafuta ya gari.Siyo posho yake.Ndiyo maana wamekufikisha Kibaha wakakuongopea ni Mnazimmoja.Acha wenge getegete!
 
Back
Top Bottom