Mlioko DAR mnawezaje kuishi huko

Mlioko DAR mnawezaje kuishi huko

Watu ea Arusha mna unazi sana na kimkoa chenu, ukifika pale utachoka kinaazia ngarenaro kinaishia ngarenanyuki kwingine kote ni wamasai tu
Unajua hali ya uchumi za hao Wamasai? Magorofa mengi mjini Arusha, ni ya kwao...na sasa hadi Dsm wanajenga.
Screenshot_20220929-210513.jpg
 
Nasema Kwa nchi hii.
Hakuna mji wenye watoto wazuri kama Arusha.
Vitoto vya DSM vingi vifupi
Ni kweli wengi wafupi na ngozi zao zimepaushwa na jua + joto.

This is fact kwa mtu anaewafahamu..weather has affected their skin, ufupi unatokana na Lishe mbovu..wanajaza mafuta ya chips na fried meals tumboni.
 
Kuhusu jua kali ni sahihi,ila pisi kama pisi hapana chezea hakunaga kama Dar

Kuna kipindi nilipokuwa dar nilikuwa napenda kwenda mwenge stand ya daladala nakaa pale naanza kufurahisha macho kwa kuangalia uumbaji wa mwenyezi mungu hakika nilikuwa naona vitu tofauti tofauti pale mpaka nashangaa yaani

Ila sijawah chomwa na jua kama lililonichoma dar,jua linachoma mpaka unahis unababuka
 
Kwa joto kali uko sahihi ila nyingine ni porojo tu. Hakuna kama Dar
 
Labda kwa kugawa makalio kwa wazungu kama wafanyavyo marasta wa chuga.
Much know with empty head ndio wewe sasa…. Makalio unaanzaje kuyagawa kama visheti? Tupe uzoefu maana inaoneka wewe ni mtaalamu wa hayo masuala..
 
Salama wakuu!

Jana nilipata nafasi ya kuingia JIJI la daslam kwà takliban masaa manne tu na kuondoka.

Aisee jua ni kali sana.
Afu Biashara Dar kumbe ni kama mikoani huku tu,...maduka unasubiri eti mpaka saa mbili na nusu Asubuhi au saa tatu ndio yanafunguliwa, ( katikati ya mji ) Duuuh

Kilichonikera ni lile jua tu!

Kiukweli sikubahatika kuona pisi kali...

Niliona nyingi ni kama za mikoani tu...

Sent from my Redmi 8A using JamiiForums mobile app
🤣🤣 masaa manne hayo ungeyatumia usiku maeneo ya sinza usingeyaandika haya
 
Honestly ukitoa wenye pesa zao wana ishi kwenye nyumba za maana walio baki wana force tu kuishi huku wala hawana furaha wana ishi kwenye vibanda tu
 
Yupo sahihi kama ametokea ChugA, darajani kuelekea na kurudi toka huko Duniani..Dar is overrated… nchi ingeendeshwa kimajimbo ChugA ingekuwa kama California.
Mmeanza,

404: Page Not Found
 
Honestly ukitoa wenye pesa zao wana ishi kwenye nyumba za maana walio baki wana force tu kuishi huku wala hawana furaha wana ishi kwenye vibanda tu
Ndio barabarani ametandika kisarufeti kaweka kopo la kashata na karanga, uswahilini kienyeji kwenye 1 & 2 usafiri ni kwa ngoko kutoka Buguruni mpaka Makoka kutoka Makoka hadi Mbezi Mwisho kwa kurumia TZ 11

Dar ndio sehemu pekee asubuhi utapishana nawaokota makopo wengi kuliko kawaida

404: Page Not Found
 
Dar ulizani newyork hakunaga joto? Joto lipo kama brazil na pia wadada wamepauka kama kawa kazi umbeya nakujiona , wamekomaa sana jua hiloo , jingine wanapenda ndizi , jingine aise usinifananishe hao copy na kupaste na vitu vizuri vya mikoani vilivyo fresh
 
Mtaongea sana kuhusu DSM lakini ukweli utabaki kwenye vichwa vyenu kwa Tanzania hii ya sasa Still DSM ipo juu kwenye kila angle.

Inaonekana mtaji umekuwa hadi unakuja kufunga mzigo MnaziMmoja Keep hustling mtaji ukikua tena amishia business zako Mjini muige GSM kazitafuta huko Songea sasa kaja kuzitumia mjini.
 
Dar es salaam inanuka uozo na vinyesi kila kona

Sio mahali sahihi kwa binadamu kuishi

Kunanuka sana kuanzia shombo za samaki kule ferry mpaka vinyesi kule mbagala, tandale, Sinza, Mwananyamala na Kinondoni yote kiujumla kama wilaya

Wanaume nao wapo wanaonuka ushoga
 
Back
Top Bottom