Namge
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 1,381
- 1,846
Labda asee... Maana mmmh c kwa maufundi manjonjo yaleHaaaah haaaaah! Mkuu umenipa rahaa saanaaa! Huyo nahisi hata msondo ulimuhusu (unyago wa wasichana wadogo ambao hawajavunja ungo)
Labda asee... Maana mmmh c kwa maufundi manjonjo yaleHaaaah haaaaah! Mkuu umenipa rahaa saanaaa! Huyo nahisi hata msondo ulimuhusu (unyago wa wasichana wadogo ambao hawajavunja ungo)
Uislam unaruhusu bi Faiza...Njoo kwetu tukucheze hata kama u mtu mzima hujawahi kufundwa utafundwa.
Na tunavyopenda mashughuli, usiseme.
Jitayarishe na kama million 5 hivi kwa sasa, kwani kwa uchache itabidi tukuweke ndani siku 40, tutakufunda maujanja yote. Ukitoka hapo kama hujanunuliwa nyumba basi utaambulia japo kiwanja.
Inalipa.
HovyoMwenzenu ndo alisema kipya mlichomfundisha ni hicho. Hovyo mwenyewe
hata waliozaliwa kwanjeka au mwakizaro wanayajua, alafu usituaibishe, KUZALIWA TANGA NI DEGREE TOSHAni wapi huko sie tulozaliwa barabara ya saba kwa ma fatu mpika vitumbua hayo.tunayasikia tu
Wala sikwambiiHivi Baby wewe ulifundwa na bibi eeh?
Haha ha ha ha endelea kujichoreshaHovyo
Nakuchora wewe kwa mkono wa kushoto,baada ya sekunde ntakua nimeshakumalizaHaha ha ha ha endelea kujichoresha
Habari wakuu,
Naandika hapa nikiwa na shauku ya kujua mafundisho ya unyago.
Naamini kuwa kuna wanawake wapo hapa JF walibahatika kupata mafunzo hayo.
Jamani tusaidieni na sisi tujue mafunzo hayo ili tuweze pia kudumu kwenye ndoa zetu na kuishi na jamii nzima kwa ujumla.
Kitendo cha wasichana wa siku hizi kukosa mafunzo hayo kimekuwa ni chanzo kikubwa cha ndoa nyingi kuvunjika.
Tusaidieni!
Uislam unaruhusu bi Faiza...
Asante mkuu, nakitafutaTafuta kitabu kinachoitwa Kamasutra by Vatsasyana, translated by Richard Burton.
Huo ni unyago wa enzi na enzi wa kihindi.
Kumbuka kuwa mila ya kihindi (hususan wahindu) wanafundishwa kumtii na kumtumikia mwanamme katika maisha yao yote, toka wanazaliwa mpaka wanakufa. Malezi yao yote yana base katika kumtumikiakuabudu mwanamme na kum "manage" mwanamme.
Leo hii usishangae hata ukienda kufanya biashara na mwanamme wa kihindi akisita kufanya "decision" mpaka afanye "consultation" na mkewe. Hiyo yote ina sababu zake na sababu kubwa ni kuwa katika malezi yake mwanamke wa kihindi anafundishwa ni nini biashara na anafundishwa na kuongezewa ujuzi wa nani "genuine" na nani "fake" kwa kutumia natural instincts zilizoboreshwa kwa unyago wao wa kamasutra.
Kwa vijana wa kike na wa kiume aliyechezwa na ambae hajachezwa nnawashauri sana wapende kujisomea.
Njoo kwetu tukucheze hata kama u mtu mzima hujawahi kufundwa utafundwa.
Na tunavyopenda mashughuli, usiseme.
Jitayarishe na kama million 5 hivi kwa sasa, kwani kwa uchache itabidi tukuweke ndani siku 40, tutakufunda maujanja yote. Ukitoka hapo kama hujanunuliwa nyumba basi utaambulia japo kiwanja.
Inalipa.
Uongo mwingine ni huu, wanaokufunda ni wanawake hyo miti watakupiga kwa mikono au.wenzako unyagoni wanapigwa miti kabisa, wanafanya kwa vitendo chezea unyago weye!
Sasa kwanini hukutupia ndani ufaidi vizuri, ukamwacha aende zake!!Labda asee... Maana mmmh c kwa maufundi manjonjo yale
Mimtu mingine inajua kuropoka tu, achana nae hajui unyago ni kitu gani, tukishindana nae tutakua vigego sie!Uongo mwingine ni huu, wanaokufunda ni wanawake hyo miti watakupiga kwa mikono au.
Nakuchora wewe kwa mkono wa kushoto,baada ya sekunde ntakua nimeshakumaliza
Ngoja baadaye wakati wa pillow talk utaniambia tuu...Wala sikwambii
HahahahaaaaaaaNgoja baadaye wakati wa pillow talk utaniambia tuu...
Bado nlikuwa naishi kigetogeto Mkuu.. Life lilikuwa halijasoma..Sasa kwanini hukutupia ndani ufaidi vizuri, ukamwacha aende zake!!