Ilikuaje ... Mbona umemiss na haupo nae!Mko tofauti asee... Nliwahi kutana na mtot wa kingoni aliyepita huko... Ni shida.. On bed ni shida, jikoni ndo balaa.. Usafi ndo Mahala pake
Adabu na Mahaba... Inshort they are very organised ni handling a man..
Mtoto akitengea msosi.. Hanyanyuki mpaka ule ushibe.. Ndo ashike mengine...
I miss that woman asee..
Wenye kisu kikali.. Ndo walikula nyamaIlikuaje ... Mbona umemiss na haupo nae!
Usiwamwagie mtama, walishaona unyago unafundishwa mitandaoni!!?Hahahahaaa, jamani nani anawadanganya unyago upo insta sijui watsup? Kuna kuokota mizungu, utaokotaje insta? Kuna kutapishwa, utatapishwaje insta sijui watsup?!! Na vyote hivyo vina maana zake. Mwende kwa wanaotoa hizo huduma km wataweza kuwapika effectively maana nnachojua mimi wana familia yako ndo wahusika cz mambo ni mengi na yanahitaji usimamizi na utulivu wa hali ya juu!!!
Asiyejua maana usimpe maana waache waende usiwape faida ya bure!!!!Ila tusidharau mila zetu jamani kuna vitu mi mwenyewe viliniacha mdomo wazi huko unyagoni mana sikuwahi kuviona wala kuviskia before! Mfano maji ya kunywa kuweza kumtambua binti alie bikra na ambae kashapopolewa na wahuni, mpaka leo nikikumbuka nachoka! Mtu hakuvui chupi wala hajui huko kwa bibi kuna rangi gani lkn maji tu kunywa kashapata majibu bila wasiwasi na wewe mwenyewe ni shahidi kwa utakachokiona, amaizing!!!
Tena wanafunda hao utasema hutaachika wala mumeo hatotoka nje.Kwetu Kwamtogole wapo mbona.
Na makungwi wenyewe hawana waume, either wameachika, hawajawahi kuolewa au wamefiwa.Tena wanafunda hao utasema hutaachika wala mumeo hatotoka nje.
HahahahHicho cha kunyoa na mavuzi tu ndio unachojua wewe,hovyoo
Hahahaha, shughuli pevu ile hata kuisamaraizi huwezi, sawa na degree kuipata ndani ya wiki mojaAsiyejua maana usimpe maana waache waende usiwape faida ya bure!!!!
Vipi ushaanza kuchochea kuni nije na unga?Nasikia wanafundishwa kuwa na mafiga matatu.
Ukiwa na ndoo kichwani akikisha una kidumu mkononi.
sijawahi hata kufika tangahata waliozaliwa kwanjeka au mwakizaro wanayajua, alafu usituaibishe, KUZALIWA TANGA NI DEGREE TOSHA
hizo barabara za namba umezitolea wapi? Mi nilidhani mtoto wa Love Citysijawahi hata kufika tanga
Kweli ww umefundwaSijui kwa makabila mengine, lakini kwetu sisi ni MWIKO kuyaongea mambo ya unyago nje....yanabaki moyoni mwako!!
Mkuu asante kwa kunitukana..ubarikiwe..
Nilienda kitchen party moja hivi karibuni nikakodoa masikio yangu kodo! Nikaishia kusikia milio ya sufuria na glass.Kitchen party ya siku hizi ni kutunzana vyombo tu,ndio maana hata wasio olewa navijibinti vidogoo vinaingia tu
Kitchen party sio unyago
Sifa ya mke ni kumlea mume na sifa ya mume ni kumtunza mkeKweli Mwanaume ni Mfalme wanawake wote hapa mnajadiliana namna ya kumtunza , kumfurahisha na kumtukuza kiumbe Mwanaume. Safi sana