Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,896
- 155,936
Kuna Wakimbu, Hawa wamezaliwa kwa baba na mama wa Kikimbu.
Kuna Hawa watoto wanaozaliwa mijini, wamechanganya makabila kichizi, Bibi mchanganyiko wa makabila, baba mchanganyiko wa makabila na toto changanyiko .
Mtoto hajui kilugha, wala hajui asili yao, toto lipolipo tu kama zimwi.
Jamani mnapoteza asili yenu, itafika kipindi mtaharibikiwa kabisaaaa na Wala hamtakuwa na pa kutambikia
Kuna Hawa watoto wanaozaliwa mijini, wamechanganya makabila kichizi, Bibi mchanganyiko wa makabila, baba mchanganyiko wa makabila na toto changanyiko .
Mtoto hajui kilugha, wala hajui asili yao, toto lipolipo tu kama zimwi.
Jamani mnapoteza asili yenu, itafika kipindi mtaharibikiwa kabisaaaa na Wala hamtakuwa na pa kutambikia