Mliobahatika kupata vitu vizuri kwenye mnada unaoendelea pale Bunju mianzini naombeni mrejesho

Mliobahatika kupata vitu vizuri kwenye mnada unaoendelea pale Bunju mianzini naombeni mrejesho

Nyamwage

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2020
Posts
757
Reaction score
1,866
Mnada wa kampuni inayoitwa KC GLOBAL unaoendelea pale Bunju mianzini jamaa anajinadi anauza tv 43 inch smart laki tatu na 55 inch laki tano laptop laki moja monitor 24 inch elfu 50 nimefika pale kwa lengo la kununua monitor 24 inch lakini zilikua zimeisha zimabaki za inch 17 bei yake ni elfu 30 lakini hazija kaa kijanja nahisi zitakua za miaka ya 90

Mazuri nilioyashahudia pale mwamba anagawa baiskeli za walemavu bure kwa hilo kaupiga mwingi sana Mungu ambariki

Kilocho nifanya nitoke pale bila kunununua kitu ni unatoa pesa alafu unakabidhiwa tv yako hakuna kuchagugua sijui unataka frameless au yenye thin bezel hapana pale unapewa tv bora iwake kama haiwaki unabadilishiwa palepale ukitoka nje ya geti warranty imeisha

Shida ni moja unaweza ukapewa tv nzima inawaka tatizo ni ya kizamani yenye mafremu mapana lakini vitu vizuri vipo mpaka magari RANGE ROVER kwa 33milioni video iko chini


 
Ndio minada ilivyo unalipia kitu kabla kiongozi. Na kuongeza nenda Dukani tu kama uko na mashaka.
KAZI ni kipimo cha utu
 
Binafsi nimenunua hio monitor, mpaka sasa sijakutana na changamoto yoyote.

Vitu vya pale asilimia kubwa ni used, na uhakika wa ubora ni kubahatisha, na hauzii shida.

Ila uzuri unajaribiwa kitu unacho nunua kikiwaka ni chako, matokeo huko nyumbani ni juu yako.

Yote ya yote jamaa kawekeza mno pale, na ukweli kuna wingi mkubwa sana wa watu, kama ataendelea hivi panakuja kuwa maarufu kusiko elezeka.
 
Binafsi nimenunua hio monitor, mpaka sasa sijakutana na changamoto yoyote.

Vitu vya pale asilimia kubwa ni used, na uhakika wa ubora ni kubahatisha, na hauzii shida.

Ila uzuri unajaribiwa kitu unacho nunua kikiwaka ni chako, matokeo huko nyumbani ni juu yako.

Yote ya yote jamaa kawekeza mno pale, na ukweli kuna wingi mkubwa sana wa watu, kama ataendelea hivi panakuja kuwa maarufu kusiko elezeka.
Umechukua inch 24 je ina port ya HDMI au display port
 
Ni mtumba grade ya mwisho, japo ukifanyia marekebisho unatoka
 
Usithubutu kununua kitu kwa hao jamaa. Niliwahi kununua laptop wakasema mpya ipo kwenye karatasi, kilichokuja kutokea haikumaliza hata wiki ikafa! nikawa nimepoteza pesa yangu. Hivyo vitu vingi vimeungwa ungwa na kuegeshwa kijanja.
Usichafue biashara za watu mkuu.

Vitu vya umeme kuharibika ghafla si jambo jipya.

KC wameanza kuuza vitu zaidi ya miaka 10 iliyopita, ingekuwa kama usemavyo wangekuwa wamekimbiwa na wateja wengi sana na kushtakiwa.

Kazi ni kipimo Cha utu.

Chris Lukosi
 
Usithubutu kununua kitu kwa hao jamaa. Niliwahi kununua laptop wakasema mpya ipo kwenye karatasi, kilichokuja kutokea haikumaliza hata wiki ikafa! nikawa nimepoteza pesa yangu. Hivyo vitu vingi vimeungwa ungwa na kuegeshwa kijanja.
Biashara za watu kaka hawajaanza Leo
 
Mnada wa kampuni inayoitwa KC GLOBAL unaoendelea pale Bunju mianzini jamaa anajinadi anauza tv 43 inch smart laki tatu na 55 inch laki tano laptop laki moja monitor 24 inch elfu 50 nimefika pale kwa lengo la kununua monitor 24 inch lakini zilikua zimeisha zimabaki za inch 17 bei yake ni elfu 30 lakini hazija kaa kijanja nahisi zitakua za miaka ya 90

Mazuri nilioyashahudia pale mwamba anagawa baiskeli za walemavu bure kwa hilo kaupiga mwingi sana Mungu ambariki

Kilocho nifanya nitoke pale bila kunununua kitu ni unatoa pesa alafu unakabidhiwa tv yako hakuna kuchagugua sijui unataka frameless au yenye thin bezel hapana pale unapewa tv bora iwake kama haiwaki unabadilishiwa palepale ukitoka nje ya geti warranty imeisha

Shida ni moja unaweza ukapewa tv nzima inawaka tatizo ni ya kizamani yenye mafremu mapana lakini vitu vizuri vipo mpaka magari RANGE ROVER kwa 33milioni video iko chini
View attachment 3378123

View attachment 3378140
Mtoa MADA huo sio mnada wa kawaida hiyo ni yard ya Mr. Chris Lukosi mtafute Facebook.
Alianza kuuza hivyo Salasala zaidi ya miaka 9 au 10.
Mwaka jana ndio kahamishia biashara Bunju.
Anaingiza vitu mbali mbali kutoka Uingereza na kuja kuuza kwa mnada.
Ukisikia mzee wa madungu ndio huyo na madungu ni magari makubwa Kama range Rover na discovery
 
Mnada wa kampuni inayoitwa KC GLOBAL unaoendelea pale Bunju mianzini jamaa anajinadi anauza tv 43 inch smart laki tatu na 55 inch laki tano laptop laki moja monitor 24 inch elfu 50 nimefika pale kwa lengo la kununua monitor 24 inch lakini zilikua zimeisha zimabaki za inch 17 bei yake ni elfu 30 lakini hazija kaa kijanja nahisi zitakua za miaka ya 90

Mazuri nilioyashahudia pale mwamba anagawa baiskeli za walemavu bure kwa hilo kaupiga mwingi sana Mungu ambariki

Kilocho nifanya nitoke pale bila kunununua kitu ni unatoa pesa alafu unakabidhiwa tv yako hakuna kuchagugua sijui unataka frameless au yenye thin bezel hapana pale unapewa tv bora iwake kama haiwaki unabadilishiwa palepale ukitoka nje ya geti warranty imeisha

Shida ni moja unaweza ukapewa tv nzima inawaka tatizo ni ya kizamani yenye mafremu mapana lakini vitu vizuri vipo mpaka magari RANGE ROVER kwa 33milioni video iko chini
View attachment 3378123

View attachment 3378140
Shida yake ni Moja hizo zimetoka second hand zinakwenda third hand lazima uzimodfy
 
Chris Lukosi yupo humu muda mrefu aisee,someone to tag him,from what i know huyu mhehe ana mbambamba wala ujanjaujanja..Kuna jamaa yangu tulinunua mashine fulani kwake jamaa hadi leo zinambeba..

Namtafuta anichukulie Engine ya Iveco Starlis used UK maana mara ya mwisho kuna chuma yangu naifufua nimepigwa engine haya mambo ya biashara za Online. Afadhali ya huyu ni mtanzania mwenzangu halafu CV yake ni nzuri
 
yupo humu mkuu,ila kitambo hatii neno
Anaingiaga sana Na ID zake nyingine. 2014 na 2015 alikuwaga anatutkana Sana Bavicha Kwa kutuita kenge Kwa ID zake za Chris lukos na ex cop. Na Sisi tukaanza kumuumbua alivyokuwa anaishi sebuleni Kwa shemeji Yake alipokuwa mgeni uingereza.

Ila jamaa ndo hivyo Tena ni billionea. Ila kuna ustaadh mmoja sala tano ana bonge la Sijdah alitaka kumrudisha nyuma kipindi cha nyuma walishirikiana akamuamini alipokuwa analeta mazagaza wakati huo ofisi ipo mikocheni.

Yani ustaadh akawa anauza hizozaga kama zake na kumdhulumu jamaa. Hadi akawa anawaambia watu kampuni NI Yake.

Ila akaachana nayena kuhamia salasala.

Sasa hivi Yuko bunju sehemuyake mwenyewe Siyo ya kukodi kama mikocheni na salasala.

Mwamba ameimaster business na atazidi Tu kuneemeka. Sasa hivi anataka kuanzisha kiwanda cha chuma.

Ila jamaa NI hustler licha ya chuki majungu wivu wa wabongo mwamba anachana Mbuga Tu. Hadi anarogagwa lakini NI mwendo WA mafanikio.

Hadi alipofikia hapa hongera jamaa Katokaa mbali l. Kuajiri watu 20 uingereza na ishirini wengine bongo so mchezo.

Uzuri siku hizi kapunguza kututukana Bavicha.
 
Kule uingereza kuna mnijeria flani alikuwa anamtegemea kupaki na kupanga vitu kwenye kontena kwasababu huyo mnijeria alikuwa na huo ujuzi.

Akawa anamringia Chris lukos. Kuna siku alitakiwa kuja kupanga vitu kwenye kontena hakutokea Na container kesho Yake inatakiwa kuja bongo. Akimpigia Jamaa simu hapokei kwasababu ya kiburi akijua hakuna mwengine Chris atampata.

Ndipo Chris akamuambia dogo flani walikuwa naye site itabidi wapaki na wapange Wenyewe dogo alisita na kumuambia Chris tutaweza kweli?

Chris akamuambia wee usijali Hamna Namna Leo tutajifunza na kuweza.

Unaambiwa walipiga kazi usiku kucha wakajaza makontena na kupanga vizuri.

Natoka siku Hiyo akumtegemea Tena jamaa. Salsa hivi NI huyo dogo Na anapiga kazi balaa.

Akawakumbusha tu wapambanaji kwenye changamoto ndio kunaa fursa Na kujifunza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom