Wana jf,
Ifahamike kwamba mapenzi huanzia sehemu ndogo sana hatimaye ndoa.
Kabla hujawa na mpenzi/mke kuna tabia ulizokuwa nazoambazo kwako uliona kama nzuri, kuna vitu hasa wanaume huwa hawafanyi wengine wakisema ushamba. Mfano kuna jamaa anajisifia hajawahi kujipaka mafuta, lotion zaidi ya miaka 10.
Lakini baada ya kupata mpenzi/mke, full darasa na mengine mengi na sasa unavifanya. Je uliwahi hata siku moja kumpa shukrani alivyoweza kukubadilisha?
Nawasilisha
Ifahamike kwamba mapenzi huanzia sehemu ndogo sana hatimaye ndoa.
Kabla hujawa na mpenzi/mke kuna tabia ulizokuwa nazoambazo kwako uliona kama nzuri, kuna vitu hasa wanaume huwa hawafanyi wengine wakisema ushamba. Mfano kuna jamaa anajisifia hajawahi kujipaka mafuta, lotion zaidi ya miaka 10.
Lakini baada ya kupata mpenzi/mke, full darasa na mengine mengi na sasa unavifanya. Je uliwahi hata siku moja kumpa shukrani alivyoweza kukubadilisha?
Nawasilisha