state agent
JF-Expert Member
- Jul 1, 2019
- 1,764
- 2,511
Mahakama ya ngazi ya juu mjini Kigali imetupilia mbali rufani dhidi ya Lt Joel Mutabuzi na atafungwa maisha ambapo ndio kifungo kikuu kupita vyote nchini Rwanda.
Luteni Mutabuzi alikata rufaa kupinga hukumu hiyo ambapo yeye na wenzake 7 walihukumiwa maisha jela, alikuwa mtu wa karibu sana na familia ya Kagame na alilinda sana ikulu ya Kagame.
Luteni Mutabazi alipanga njama akiwa chini ya Mkuu wa Majeshi aliyekimbia nchi hiyo na bado anatafutwa Gen Kayumba Nyamaswa.
Chanzo: BBC Swahili
State agent
Luteni Mutabuzi alikata rufaa kupinga hukumu hiyo ambapo yeye na wenzake 7 walihukumiwa maisha jela, alikuwa mtu wa karibu sana na familia ya Kagame na alilinda sana ikulu ya Kagame.
Luteni Mutabazi alipanga njama akiwa chini ya Mkuu wa Majeshi aliyekimbia nchi hiyo na bado anatafutwa Gen Kayumba Nyamaswa.
Chanzo: BBC Swahili
State agent