Enzymes
JF-Expert Member
- Feb 14, 2013
- 4,332
- 3,018
Chadema mmumlipe vizuri,mshaara wa laki 4 kwa mwezi kama mlivyokuwa mnamlipa kagenzi ni mdogo sana ndio maana alirubuniwa kwa vipande 150 vya elfu,Jitahidini mumpe hata net ya 2m usafiri binafsi hata Cresta pamoja na mafuta/Dereva,mumpangishie nyumba nzima maeneo ya jirani na Dr Slaa,Boko mkifanya hivyo hatorubunika.
Polisi mmeshindwa.