Jaguar JF-Expert Member Joined Mar 6, 2011 Posts 3,440 Reaction score 1,029 Oct 13, 2011 #1 Siku moja mlevi akiwa chakali alikaa siti moja na mlokole.Mlokole akamwangalia kisha akasema,"mpendwa unakwenda motoni".Mlevi alipoambiwa maneno hayo, akapayuka,"dereva nishushe,mi nilifikiri unaenda kariakoo kumbe unaenda motoni!".
Siku moja mlevi akiwa chakali alikaa siti moja na mlokole.Mlokole akamwangalia kisha akasema,"mpendwa unakwenda motoni".Mlevi alipoambiwa maneno hayo, akapayuka,"dereva nishushe,mi nilifikiri unaenda kariakoo kumbe unaenda motoni!".
Bornvilla JF-Expert Member Joined Feb 17, 2011 Posts 924 Reaction score 272 Oct 13, 2011 #3 Tehe tehe! Ulevi kweli nouumaaa!
mchemsho JF-Expert Member Joined Jun 8, 2011 Posts 3,230 Reaction score 936 Oct 14, 2011 #4 Au leo siko sawa nini?? Manake kila joke ninayosoma hainifurahishi.!
Bigirita Platinum Member Joined Feb 12, 2007 Posts 16,043 Reaction score 7,477 Oct 14, 2011 #5 Alivyoshuka tu kwenye daladala, akaingia bar ya jirani, akapiga supu na za baridi mbili kwanza ndo akapata akili.
Alivyoshuka tu kwenye daladala, akaingia bar ya jirani, akapiga supu na za baridi mbili kwanza ndo akapata akili.
Viol JF-Expert Member Joined Dec 15, 2009 Posts 25,419 Reaction score 18,368 Oct 14, 2011 #6 saluti mkuu