Jaguar JF-Expert Member Mar 6, 2011 3,438 1,026 Oct 13, 2011 #1 Siku moja mlevi akiwa chakali alikaa siti moja na mlokole.Mlokole akamwangalia kisha akasema,"mpendwa unakwenda motoni".Mlevi alipoambiwa maneno hayo, akapayuka,"dereva nishushe,mi nilifikiri unaenda kariakoo kumbe unaenda motoni!".
Siku moja mlevi akiwa chakali alikaa siti moja na mlokole.Mlokole akamwangalia kisha akasema,"mpendwa unakwenda motoni".Mlevi alipoambiwa maneno hayo, akapayuka,"dereva nishushe,mi nilifikiri unaenda kariakoo kumbe unaenda motoni!".
mchemsho JF-Expert Member Jun 8, 2011 3,212 867 Oct 14, 2011 #4 Au leo siko sawa nini?? Manake kila joke ninayosoma hainifurahishi.!
Bigirita Platinum Member Feb 12, 2007 15,986 7,367 Oct 14, 2011 #5 Alivyoshuka tu kwenye daladala, akaingia bar ya jirani, akapiga supu na za baridi mbili kwanza ndo akapata akili.
Alivyoshuka tu kwenye daladala, akaingia bar ya jirani, akapiga supu na za baridi mbili kwanza ndo akapata akili.