Mlevi akikojoaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Mlevi akikojoaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

KIBURUDISHO

JF-Expert Member
Joined
Mar 28, 2011
Posts
1,002
Reaction score
278
Pembeni ya baa inayouza pombe za kienyeji kulikuwa na mlevi mmoja aliyekuwa anakojoa huku akitoa vijampo kwa sauti kubwa iliyokuwa ikiwakera walevi wenzie.Ndipo walipomuuliza mbona unakojoa huku ukijampa sana.Yule mlevi akawajibu mliwahiona wapi mvua ikinyesha bila ngurumo za radi????
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom