Niliangalia clip ya Ebitoke akivamia press conference ya Mlela nimewaona hawa ndugu zetu hili suala wamelipanga makusudi ili wapate kiki.
Hivi hawa bongo movies kwanini wasitumie nguvu zao kuhakikisha wanarudisha soko la movie kwa kuwa wabunifu kuliko kupoteza muda kwa ajili ya kiki ambayo haiwasaidii.
Hivi hawa bongo movies kwanini wasitumie nguvu zao kuhakikisha wanarudisha soko la movie kwa kuwa wabunifu kuliko kupoteza muda kwa ajili ya kiki ambayo haiwasaidii.