yawezekana ni hadithi ila ni hali halisi imemtokea mzee mmoja akaae london
majuzi alikuwa na harusi kubwa ya binti yake..walipofika kwenyeharusi wakakuta aliepembeni ni aliekuwa gfriend wake..akuamini alibaki na mshangao na wakabaki na furaha tupu baada ya kujua mwanae anaenda kuwa sehemu ya amani
yawezekana ni hadithi ila ni hali halisi imemtokea mzee mmoja akaae london
majuzi alikuwa na harusi kubwa ya binti yake..walipofika kwenyeharusi wakakuta aliepembeni ni aliekuwa gfriend wake..akuamini alibaki na mshangao na wakabaki na furaha tupu baada ya kujua mwanae anaenda kuwa sehemu ya amani
Mkuu nimecheka hadi nataka kukatika utumbo duh. Yaani imebidi nitoke nje nikacheke kwa sauti.hadithi hadithi hapo zamani za kale alitokeaga harusi afu wakakutana...
Whats the F#%$k!!@@