RealTz77
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 738
- 40
atakuw ni mwalimu huko ifakara kwao!sijui mahengeyuko wapi Cletus Magoda? nilikuwa Mak-West
atakuw ni mwalimu huko ifakara kwao!sijui mahengeyuko wapi Cletus Magoda? nilikuwa Mak-West
mercelly mwakin,duu namkumbuka mgimwa na vile vimikate tukawa tunaviita vimgimwa?
jamani tuwasiliane tuwe kama tuna gathering mnajua hilo ni bonge ya skuli
nakumbuka kombolela la baunsa kwa wale wa maghembe east na west
1996 to 1998 mmojawapo the casino the complex Mkwawa High School wahooooouuuuuuuu
i salute this man, i never saw a serius Headmaster than he was.....a real father...anaweza kukuona katika kundi la watu 10 nje ya shule akakutambua na kukutafuta shule...mabinti walikuwa wanamuogopa kama jini akisimama parade tu anaanza kuchambua mmoja mmoja aliowakuta mjini...yuko wapi kwa sasa?There I met one of the leaders I admired....Mr. Mgohamwende. Yupo wapi huyu mzee aliyekuwa hajui kuongea ongea ili afurahishe watu, ila mtu aliyajari nidhamu hodari wa kutimiza anayoyataka
Tupo wengi mkuu, si unaelewa ile shule ilikuwa inakusanya kutoka kila kona ya Tanzania? Kuhusu vyeti vinapatikana Ifunda sekondari kama hawajavihamisha, mimi nilichukua changu mwezi Disemba mwaka jana.Kumbe wana mkwawa tupo wemgi sana humu ndani ya JF... Wengine hata hatukuchua vyeti vyetu, na sasa hivi ni college sijui tukivihitaji tutavipata vipi!
i salute this man, i never saw a serius Headmaster than he was.....a real father...anaweza kukuona katika kundi la watu 10 nje ya shule akakutambua na kukutafuta shule...mabinti walikuwa wanamuogopa kama jini akisimama parade tu anaanza kuchambua mmoja mmoja aliowakuta mjini...yuko wapi kwa sasa?
Tupo wengi mkuu, si unaelewa ile shule ilikuwa inakusanya kutoka kila kona ya Tanzania? Kuhusu vyeti vinapatikana Ifunda sekondari kama hawajavihamisha, mimi nilichukua changu mwezi Disemba mwaka jana.
i salute this man, i never saw a serius Headmaster than he was.....a real father...anaweza kukuona katika kundi la watu 10 nje ya shule akakutambua na kukutafuta shule...mabinti walikuwa wanamuogopa kama jini akisimama parade tu anaanza kuchambua mmoja mmoja aliowakuta mjini...yuko wapi kwa sasa?
i did PCM from '97 to '99 you probably tought me.i was a teacher-physical chemistry
i was a teacher-physical chemistry
Kumbe wana mkwawa tupo wemgi sana humu ndani ya JF... Wengine hata hatukuchua vyeti vyetu, na sasa hivi ni college sijui tukivihitaji tutavipata vipi!