Mkwawa High School mpo?

Mkwawa High School mpo?

duh naaam nakumbuka kifutboli mkwawa ilitisha mimi ni 1996/98, sasa kuna suard ya kina cletus magoda, mwakabuku ezekiel, titus mhina duh acha kabisa, nimeipenda format ya 5+n. safi sana
 
duh naaam nakumbuka kifutboli mkwawa ilitisha mimi ni 1996/98, sasa kuna suard ya kina cletus magoda, mwakabuku ezekiel, titus mhina duh acha kabisa, nimeipenda format ya 5+n. safi sana

Mdogo wangu realtz,
Timu yetu ya futiboli ilikuwa tishio. Ndo maana highland walikuwa wanakuja wamejiandaa kupigana mara wafungwapo.

Halafu nyie mmeikuta Mkwawa imekuwa shule nzuri. Sisi ndo tulikuwa wa kwanza kuibadili kutoka chuo cha ualimu kuwa High school. Huwezi amini tuliomaliza pale 1994 tulikuwa wanafunzi kama 576 hivi wani zilikuwa 6 tu shule nzima na zero zilikuwa 151. Vijana walikuja na wani zao toka fomu 4 wakaondoka na ziro. Ufuska ulikuwa wa kiwango cha kutisha na walimu walikuwa hawafundishi inavyotakiwa maana wale wanafunzi wa ualimu walikuwa wanatafuta kupata tu "S" waende wakafundishe. Tunamshukuru MUNGU wengine tulichechemea kuingia UDSM na baada ya hapo bado yalikwenda na yanaendelea kuwa mswano zaidi.
 
Last edited:
Hivi nani anajua alipo yule kiongozi wa DH alikuwa anaitwa Kyande Salehe wale waliosoma 1994-1996 watakuwa wanamjua !
 
duh naaam nakumbuka kifutboli mkwawa ilitisha mimi ni 1996/98, sasa kuna suard ya kina cletus magoda, mwakabuku ezekiel, titus mhina duh acha kabisa, nimeipenda format ya 5+n. safi sana

mzee kama tumepiga wote MKWAWA COMPLEX & CASSINO...aka..SOBIBO CAMP...maana cletus magoda alikuwa bweni mate wangu MAK-EAST..aka..EASTSIDERZ....pale wakulu tulikula shangwe...unakumbuka vyoo vyetu vya shimo kuingia mpaka ufue shati???
 
Nauliza kama hapa JF wapo waliopitia Mkwawa High School miaka ya 1974-75?
.

Hao watakuwa wamezeeka sasa, tupo tuliopita miaka ya tisini. Kipindi kile Mkwawa ilikuwa complex kweli. Chakula unakipata kwa kuonyesha food card kwa kiranja wa zamu, hatari sana. Pia nakumbuka makanyagio kwenye ulanzi wa kutosha au Holland beer kama tulivyokuwa tunaiita
 
Humu ndani ya JF walioma Mkwawa wengi ni wa miaka ya 90 na kuendelea. sidhani kama kuna wa 1974 - 75. Makanyagio kwa Chuwa na Nelkon ndio tulikuwa tunaenda kupata Rice+Beans na Kachumbari.
 
Heri yako wewe umemsahihisha yule aliyesema pale makanyagio alikuwepo mtu anaitwa Nelson, mi nakumbuka mtu aliyekuwepo pale alikuwa anaitwa Nelkon(japo) si jina lake halisi. Ila mimi nilikuwa Mkwawa 96-98 na enzi za Mgohamwende, sijui yuko wapi saa hizi huyo SERIOUS GUY!

Vipi wale jamaa zangu watumiaji wa ulanzi kule Mkimbizi mnapakumbuka?
Nasikia Mwangoka alipata shule nyingine? Wadau mna data ni ipi na wapi?
 
Wewe tulikuwa wote, mimi nilikuwa SHABAN WEST kwa mzee Mwangoka!
 
Montero,

Wewe ulimaliza pale Mkwawa mwaka gani ? Aisee namkumbuka sana Mwang'oka kipindi cha baridi yeye alikuwa havai sweta hata kidogo . Jamani anajua Mgohamwende yuko wapi ? yule jamaa namzimia sana alikuwa ana misimamo yake ambayo alikuwa anaifuatilia kama vitabu vitakatifu. Kwa wale ambao mlimaliza mwaka 1996 na 1995 mtayakumbuka haya majina

1. Joel Karanja (HP)
2. Jeremiah Nangolo
3. Kyande Salehe
4. Joel Ulomi
5. Emily lyotella
6. Brigedia " Albert"
7. Lusivya Mrisho " Mase Mase"

Sijui wako wapi hawa watu ....
 
ngui nasikia alifariki ajalini songea, mwenye uhakika atoe basi ticha wetu, yaah!
 
Hata mimi nilisikia hivyo, lakini sijapata habari za uhakika mpaka leo!!!
 
Heri yako wewe umemsahihisha yule aliyesema pale makanyagio alikuwepo mtu anaitwa Nelson, mi nakumbuka mtu aliyekuwepo pale alikuwa anaitwa Nelkon(japo) si jina lake halisi. Ila mimi nilikuwa Mkwawa 96-98 na enzi za Mgohamwende, sijui yuko wapi saa hizi huyo SERIOUS GUY!

Vipi wale jamaa zangu watumiaji wa ulanzi kule Mkimbizi mnapakumbuka?
Nasikia Mwangoka alipata shule nyingine? Wadau mna data ni ipi na wapi?

Mkuu nami nilikuwa miaka hiyo 1996-1998 Mgohamwende nilikuwa namkubali sana yule mzee alikuwa na misimamo,unamkumbuka yule kiranja wa DH somebody Kayombo hivi sijui atakuwa wapi.
 
ngui nasikia alifariki ajalini songea, mwenye uhakika atoe basi ticha wetu, yaah!

alishafariki? mwenye data kamili atupatie basi,nakumbuka ilipokuwa zamu yake asubuhi alipokuwa anakuja kule mabwenini kwetu magembe na kuanza kutufukuza twende madarasani,kama amekufa apumzike kwa amani.
 
alishafariki? mwenye data kamili atupatie basi,nakumbuka ilipokuwa zamu yake asubuhi alipokuwa anakuja kule mabwenini kwetu magembe na kuanza kutufukuza twende madarasani,kama amekufa apumzike kwa amani.

Unanikumbusha mambo ya "Gembe na Kongoro"
 
mzee kama tumepiga wote MKWAWA COMPLEX & CASSINO...aka..SOBIBO CAMP...maana cletus magoda alikuwa bweni mate wangu MAK-EAST..aka..EASTSIDERZ....pale wakulu tulikula shangwe...unakumbuka vyoo vyetu vya shimo kuingia mpaka ufue shati???

yuko wapi Cletus Magoda? nilikuwa Mak-West
 
Back
Top Bottom