mkwawa bado haifai kuitwa chuo

BUMIJA

JF-Expert Member
Oct 19, 2011
5,824
11,023
hapa kila kitu cha kugombea.lecture rooms tunabanana sana,hostel ni zile room tangu advance,na hazitoshi watu wanapanga mbali.
 
Mkuu fungasha mizigo rudi nyumbani kama unaona mazingira ya muce hayakufai na kukupendeza, umeenda hapo kutafuta hostel mpya? mademu au kusoma?
 
Mtu ametoa mapendekezo yake kuhusu mazingira ya chuo cha mkwawa mnaanza kumshambulia..ni ukweli usiopingika kwamba mazingira ni kimojawapo kinachochangia ufaulu mzuri...huwezi kuniambia mtu akienda lecture agombanie kama tuition mchikichini bana..hostel pia muhimu ila mademu achana nao..

Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
 
hivi kumbe ni hostel, madem ndo vinavyotoa hadhi ya chuo?
suala la hostel siyo tatizo la hapo MUCE tu!
suala la kupanga vyumba mbali, hilo ni chaguo lako! kuna vyumba hapo makanyagio, ilala hapo,na wapi paleee ukitoka kwenye hilo geto kubwa mkono wako wa kulia unanyoosha, kuna vyumba kibao, sasa kama wewe unaenda kupanga mtwivila, gangilonga si maamuzi yako?

we endelea kuleta ubishoo, utakapoambiwa Dr.Komba kamaliza kozi ndo utajua kumbe kushinda humu na ku complain kuhusu mademu siyo ishu! hapo MUCE ukomae, pagumu! kuna kamsemo hapo Iringa wanasema "usiwe bishoo kama wanachuo wa Tumaini, na usiwe MGUMU kama mwanachuo wa MUCE ila uwe moderate kama mwanachuo wa RUCO"! hapo pagumu! komaaa!
 
wewe bado course work za mkwawa hazijakuchanganyia vizuri, zikikuchanganyia utaona vyote vipo sawa mkwawa ni pazuri sana sema bado mgeni kidogo .............
 
Hayo matatizo yapo kote.Hata chuo nachosoma lecture tunagobania kukaa mbele au karibu na sipika watu tunajaa sana.Kama huwezi vumili rudi kwenu.
 
Ni kweli mkwawa ni chuo cha kata..


wewe ndo kabisaaa! haujui kitu piga kimyaaaa! hivi umeshafungua ARIS mara ngapi toka ujiite mwanachuo? mara mbili eti? yaani semester mbili upo chuoni! sasa na wewe unaongea nini? watoto mliosoma maarifa ya jamii nyie!
 
hapa kila kitu cha kugombea.lecture rooms tunabanana sana,hostel ni zile room tangu advance,na hazitoshi watu wanapanga mbali.madem pia wachache sana japo cio lazma.

Before you spoke I thought You are wise,Ujinga ujinga ujinga tupu
 
Eti hata mademu nao pia ni wachache ha ha haaa, na wewe nawe pia unatakiwa kupelekwa milembe kwa nguvu
 
Hujui kilichokupeleka hapo ungejua usingetoa malalamiko ya kijinga eti hata wasichana nao wachache, nadhani umeenda hapo ili ukue hakuna lingine
 
Kama unataka mademu njoo huku buguruni, uwanja wa fisi
Soma mdogo wangu, udsm sio sehemu pa kutafutia umaarufu, utaumbuka kizembe...
 
Mtu ametoa mapendekezo yake kuhusu mazingira ya chuo cha mkwawa mnaanza kumshambulia..ni ukweli usiopingika kwamba mazingira ni kimojawapo kinachochangia ufaulu mzuri...huwezi kuniambia mtu akienda lecture agombanie kama tuition mchikichini bana..hostel pia muhimu ila mademu achana nao..

Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums

hahahahahaha
 
Back
Top Bottom