mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,867
- 8,284
Kuwa mkuu wa wilaya hakumfanyi huyo mama awe juu ya sheria ,hakuna sheria inayosema ukivaa kimini ucharazwe bakora,hakuna,tuheshimu sheria na si kufanya vitu kwa hulka au utashi wa muhusika,haya mambo ya viongozi wa wilaya na mikoa kutoa maamuzi bila kuangalia sheria ndio yaliyoleta mtafaruku wa kuchinja wanyama huko Nyehunge Mwanza,wangefuatari sheria yote hayo yasingetokea,kwani hakuna palipoandikwa wanyama wachinjwe na waislamu tu,bali tulifanya mazoea ya kujifanya waislamu peke yao ndio wana haki ya kuchinjaKwa hiyo kuvaa vimini ni marufuku kwa wakazi wa Temeke? (Wilaya ya huyo Mama). Vipi mtu akitokea Ilala akaenda Temeke kutembea naye itabidi alambwe Bakora? Sijasoma hiyo taarifa lakini hwezi kupiga marufuku uvaaji wa vimini kwa ujumla wake bali angekataza labda watu wanaokwenda kwenye maofisi ya serikali na wafanyakazi kwenye hizo ofisi za serikali wasivae vimini ingekuwa sawa. Sasa mtu wa mtaani akivaa kimini wewe anakuhusu nini?
Tiba