Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
Nimemuona huyo jamaa kwenye habari TBC asubuhi.
Nika observe vitu vifuiatavyo, siku anaingia ofisini sidhani kama aliita waandishi na kuwaambia wananchi wake wategemee nini kutoka kwake. Na pia wakati anasoma tangazo kwamba amejiuzulu bado alikuwa amekaa ofisini kwenye ofisi za serikali sasa nimeshindwa kumuelewa kwa sababu barua ameionesha pale ambayo imeshakwenda kwa bosi wake.
Nadhani vyeo vya wakuu wa wilaya vitangazwe kama kazi nyingine wapewe wataalam kama PWC na wengine watafute watu wa kujaza hizo nafasi kitaaluma!
Nika observe vitu vifuiatavyo, siku anaingia ofisini sidhani kama aliita waandishi na kuwaambia wananchi wake wategemee nini kutoka kwake. Na pia wakati anasoma tangazo kwamba amejiuzulu bado alikuwa amekaa ofisini kwenye ofisi za serikali sasa nimeshindwa kumuelewa kwa sababu barua ameionesha pale ambayo imeshakwenda kwa bosi wake.
Nadhani vyeo vya wakuu wa wilaya vitangazwe kama kazi nyingine wapewe wataalam kama PWC na wengine watafute watu wa kujaza hizo nafasi kitaaluma!