Sisi wananchi wa pembezoni mwa barabara ya Kyela - Junction tunauliza habari ya fidia imefikia wapi?
Watu wa TANROADS wanapitapita huku kuomba omba fedha kwa wananchi kwa mtu anayetaka malipo mazuri, malipo mmefanya Siri wahusika hatujui tunachopaswa kufidiwa mnakaribisha Rushwa na utapeli.
Bandikeni majina ya watakaofidiwa na watafidiwa kiasi gani. Meneja wa TANROADS mkoa wa Mbeya amekuwa mbogo akiulizwa na wananchi kuhusu fidia hiyo, DC Kyela na RC Mbeya elekezeni macho yenu huko kuna wizi unaendelea.
Watu wa TANROADS wanapitapita huku kuomba omba fedha kwa wananchi kwa mtu anayetaka malipo mazuri, malipo mmefanya Siri wahusika hatujui tunachopaswa kufidiwa mnakaribisha Rushwa na utapeli.
Bandikeni majina ya watakaofidiwa na watafidiwa kiasi gani. Meneja wa TANROADS mkoa wa Mbeya amekuwa mbogo akiulizwa na wananchi kuhusu fidia hiyo, DC Kyela na RC Mbeya elekezeni macho yenu huko kuna wizi unaendelea.