Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
Baada ya jaribio la kufa na kupona la mwenyekiti wa CCM kutaka kumng'oa mwenyekiti wa Kijiji Kwa-Sadala; hatimaye Novatus Makunga kafanikisha. Mwenyekiti huyo wa CCM ambaye anasemakana kuwa obsessed sana na hali ya raia kuikataa CCM alimfukuza kazi mwenyekiti wa kijiji hicho. Lakini watu wakamuuliza mamlaka kapata wapi? Hakuwa na jibu.
Mwenyekiti aliyechoka akajaribu tumia msaada wa polisi ila nao wakionekana kuichoka CCM wakampa swali kama hilo.Leo Taarifa ya habari ya ITV inamwonyesha DC Makunga akimfukuza mwenyekiti huyo wa kijiji huku akiwa na watu walioandaliwa kuonyesha kuwa wamepangwa waongee nini. Kama inavyofahamika huyu mkuu wa wilaya aliwahi fanya kazi ITV na atakuwa mwepesi sana kwa mambo yamhusuyo na kisiasa.
Cha kujiuliza ni kwamba kama mwenyekiti kashindwa kazi kwanini asitolewe kwa kura za wanakijiji kama walivyomchagua? kwani yeye si wa kuteuliwa na serikali.
Taarifa iliyopo ni kwamba hata polisi wamemchoka huyu m/kiti wa CCM wilaya ya Hai. Amekuwa akiwahemea wamsaidie kuzui nguvu ya CHADEMA bila jijua kuwa yupo katik nyumba ya CHADEMA. Novatus nae akiwa kama makada wengine wa CCM anatafuta njia ya kujijenga kwa nguvu nyingi, mojawapondio hii ya kufanya kazi ya CCM.
Mwenyekiti aliyechoka akajaribu tumia msaada wa polisi ila nao wakionekana kuichoka CCM wakampa swali kama hilo.Leo Taarifa ya habari ya ITV inamwonyesha DC Makunga akimfukuza mwenyekiti huyo wa kijiji huku akiwa na watu walioandaliwa kuonyesha kuwa wamepangwa waongee nini. Kama inavyofahamika huyu mkuu wa wilaya aliwahi fanya kazi ITV na atakuwa mwepesi sana kwa mambo yamhusuyo na kisiasa.
Cha kujiuliza ni kwamba kama mwenyekiti kashindwa kazi kwanini asitolewe kwa kura za wanakijiji kama walivyomchagua? kwani yeye si wa kuteuliwa na serikali.
Taarifa iliyopo ni kwamba hata polisi wamemchoka huyu m/kiti wa CCM wilaya ya Hai. Amekuwa akiwahemea wamsaidie kuzui nguvu ya CHADEMA bila jijua kuwa yupo katik nyumba ya CHADEMA. Novatus nae akiwa kama makada wengine wa CCM anatafuta njia ya kujijenga kwa nguvu nyingi, mojawapondio hii ya kufanya kazi ya CCM.