Wee upepo, akili yako umeiacha wapi? Huo ulikuwa ni mfano tu, na wala sikuwa namaanisha hivyo. Kwamba, yeye kateuliwa lakini hajui ni kwanini au kwa vigezo vipi kateuliwa, is that not stupidity?Mkuu kumbe ukuu wa Wilaya unapatikana kwa interview ya wazi? Unaijua katiba mkuu? Kumbe hata hujui ukuu wa wilaya unapatikanaje! Naona wewe unajua rabbish tu. Jishughulishe basi hata kidogo ili ujue ukuu huo unapatikanaje kisha uende kwenye tume ya katiba ili utusaidie kutoa mawazo ili tuje kupata wakuu wa wilaya kwa vigezo na interview za wazi!