Mkuu wa mkoa wa DSM atoa tamko!

King Kong III

JF-Expert Member
Oct 15, 2010
51,646
68,598
Amewahasa waislamu wanaotaka kuandamana leo kwenda ikulu wasifanye hivyo.

source:ea radio(Zembwela)
 
Yuko sahihi.mimi naona serikali inachukua hatua za kufaa tu jamani.tuiungeni mkono kuliko kuilaumu
 
waislam kwa waislam wanapambana...so waislam wanapambana na serikali ya jk,bilal,othman,mwema na kova....kazi kwenu ngoja nile kitimoto nusu hapa.
 
Hivi mamabomu ya Mwangosi yameisha?????? hapo ndo pahala pake!! Though not good Ila some times you need to hasa pale upande wa pili unapotumia nguvu kupita kiasi- kuchoma na kuharimu mali za watu wengine
 
waislam kwa waislam wanapambana...so waislam wanapambana na serikali ya jk,bilal,othman,mwema na kova....kazi kwenu ngoja nile kitimoto nusu hapa.

Ongeza nusu ingine na ndizi Mpwa umenifurahisha sana. Baadae naenda Segerea kumtembelea Pondwa nitambebea kanusu kilo
 
wanajua mkuu wa kaya hayupo ndo maana wanataka kwenda huko ili wapate sababu ya kufanya maasi
 
Hakuna mtu atakayeandamana leo. Kwani unafikiri wao hawaogopi kitu kizito?

Uzuri watapambana na waislam wenzio, wasitafute kisingizio kwa wakristo.
 
enough is enough! kwani mkulu karudi??? mbona wanawachelewesha??? yaani nimegundua ukiwa na mume DHAIFU, bora kuomba talaka kurudi kwenu!
 
Ongeza nusu ingine na ndizi Mpwa umenifurahisha sana. Baadae naenda Segerea kumtembelea Pondwa nitambebea kanusu kilo

msalimie sana bana...mwambie sasa wapambane waingo'oe ccm madarakani ,sijui wanataka nani aongoze nchi hii,ninafurahi kua viongozi wakuu ni waislam na bado wanalalamika,edo aje naye tuone kama hajafumua matumbo watu.
 
Back
Top Bottom