John W. Mlacha
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 3,504
- 1,343
nawashauri waislam watulizane watunze nguvu hadi hapo 2015 akishaingia rais mkristo
aje arushe kitu chenye ncha kali?askari wa mwangosi aje kufanya kazi yake sasa
wanajua mkuu wa kaya hayupo ndo maana wanataka kwenda huko ili wapate sababu ya kufanya maasi
nawashauri waislam watulizane watunze nguvu hadi hapo 2015 akishaingia rais mkristo
Wewe huwajui hawa wewe...msalimie sana bana...mwambie sasa wapambane waingo'oe ccm madarakani ,sijui wanataka nani aongoze nchi hii,ninafurahi kua viongozi wakuu ni waislam na bado wanalalamika,edo aje naye tuone kama hajafumua matumbo watu.
Amewahasa waislamu wanaotaka kuandamana leo kwenda ikulu wasifanye hivyo.
jamaa wanataka kuogeshwa na maji washa ili wakiwashwa watafute mkunaji!
Ongeza nusu ingine na ndizi Mpwa umenifurahisha sana. Baadae naenda Segerea kumtembelea Pondwa nitambebea kanusu kilo
aje arushe kitu chenye ncha kali?
Ingekuwa enzi za igp O.mahita, kuna watu wangekuwa weshapotea katika mazingira tatanishi
Watamsubiri hadi arudi.Hapo sasa, ngoma inogile. Ikulu watamkuta nani sasa, kwani jamaa kesharudi toka uarabuni?????
Mkuu Bigirita, mbavu zangu zimekukosea nini? nina kaoperesheni ubavuni. Sasa kama unanitakia mema usitake kafumuke pliz.Wewe huwajui hawa wewe...
kelele zote hizi, leo hii ukiitishwa uchaguzi, kura zote wanawapa CCM.
usifanye mchezo na watu wanaofikiria kulia kwenda kushoto
kwani kuna ubaya kuwa rais mkiristo ?AS LONG AS SIO PADRI AU ASKOFU