Amewahasa waislamu wanaotaka kuandamana leo kwenda ikulu wasifanye hivyo.
source:ea radio(Zembwela)
na wewe inabidi tukuonee huruma,hujajua kitimoto ina madhara?haiishi miaka miwili kichwa kinashikana na kifua na shingo inamezwa!si unamuona kiti moto mwenyewe hana shingo!we fikiri tu unawakomoa waislam.waislam kwa waislam wanapambana...so waislam wanapambana na serikali ya jk,bilal,othman,mwema na kova....kazi kwenu ngoja nile kitimoto nusu hapa.
Ikulu wanamfuata nani? Mbona mpangaji hayupo?
Hivi anatakiwa kuwasihi au KUWAONYA?
na wewe inabidi tukuonee huruma,hujajua kitimoto ina madhara?haiishi miaka miwili kichwa kinashikana na kifua na shingo inamezwa!si unamuona kiti moto mwenyewe hana shingo!we fikiri tu unawakomoa waislam.
Haya sio matamshi mazuri. Lazima tuwe wavumilivu na kuzuia midomo yetu kutoa kauli zenye muelekeo wa kichochezi hasa kwa hawa ndugu zetu maana itachuliwa ni kauli ya kanisa sio yako mkuu. Utulivu muhimu chochote kibaya kikitokea hakuna upande utakao salimika. Sema tu wahuni hawatakuwa na cha kupoteza.