Maishamapya
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 1,279
- 375
Nani kampa sumu Mwakyembe? hebu tujuze ndugu..labda unawezakuwa na habari za ndani.
Wewe! Ushasahau mara hii rejao? Unakumbuka mlivyosuka mpango kumporomoshea mlima kitonga halafu ikashindikana. kisha mkaanza kumfuatilia kumwuua kwa risasi, akatoa data mkapotezea kwa muda. Kisha mkulu akasema siku hizi hata mtu akiwa anakunywa na mtu hamwamini - akitaka kwenda chooni anatoka na kinywaji chake. Basi mlikuwa mmemfuatilia siku nyingi mpaka alipojisahau kidogo wewe ukamwekea. Ukitaka picha nitakuwekea.