OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 437
Tunasema hafai huyu mkuu wa wilaya!, asilete ubabe usio na mantiki, mwambie ajifunze kutoa kwa Magufuli, watu wanawatia hatia wala rushwa wa makonteina huku wakiwa na data tangu siku nyingi!, huyu jamaa ni visasi tu!
Wakujifunza ni Kubenea lazima ajue mipaka yake na ajifunze kufanya kazi na watendaji wa serikali
Msimlishe maneno mzee warioba alishasema hakupigwa na makonda ila aliokolewa na makonda kwanini bawacha mnapenda kushadadia uongoLaana ya kumpiga Mzee Warioba itamuandama Makonda hadi kaburini
Angeshachapwa bakora chezea mujahidina weweHivi halima si mtoto wa kiislamu!!?
Hivi halima si mtoto wa kiislamu!!?
Wakujifunza ni Kubenea lazima ajue mipaka yake na ajifunze kufanya kazi na watendaji wa serikali
Ujana unamsumbua makonda anatafuta kick ili magufuli asimsahau.
Hivi halima si mtoto wa kiislamu!!?